Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 31,559
- 42,179
China uchumi wanao si haba, kuna mikoa ipo on Par na Nchi za ulaya/marekani kaskazini.Hiki ndicho kilinishangaza mwanzo,iweje jamaa wafrop mpaka kwao!!!
Sasa naelewa maana ya neno mtu akikwambia jitoshereze kiuchumi.
Kiufupi mchina uchumi wake umejengwa juu ya tuta la mchanga.
Chieff hii mediatec ya 4nm unaionaje italeta ushindani upi sokoniMarekani ana muonea China sababu wale jamaa wana copy copy tu, ila zipo Nchi kama Japan, Ujerumani, urusi, Maeneo ya Scandinavia yale etc Wana Tech za kutosha kiasi kwamba USA Hana Guts za kuweka Vikwazo.
kwa rumors nilizozisoma sidhani, maana nasikia wamelipa premium kuwa wa kwanza kutoa 4nm chip, na itauzwa kwa zaidi ya $80, compare na bei ya kawaida ya highend soc ya $30 mpaka $35, hivyo inaonekana ni soc ya marketing zaidi kuliko volume.Chieff hii mediatec ya 4nm unaionaje italeta ushindani upi sokoni
Hana msingi wa teknolojia ana copy copy ndo changamoto aliyokua nayoMchina tunamsifia kumbe hamna kitu, kabanwa kwenye OS tu kawa chali. Kwa Marekani atasubiri sana.
Os haina hata miezi minne tangu izinduliwe rasm u tunawezaje kupima ufasini wake kwenye sim janjaHana msingi wa teknolojia ana copy copy ndo changamoto aliyokua nayo
1#
ili os itumike katika simu nyingi "it takes time". simu zinazo_run harmony os zinaongezeka kila iitwayo siku, sasa wako kwenye milioni 60, wanatarajia kufikia 300mil mwisho wa mwaka huu. pia inatarajiwa kampuni nyingi za kutengeneza simu kuanza kutengeneza simu zinazo run harmony os, hasa kampuni za China.
2#
kuhusu ban ya kutengeza chip za kirim, huawei na nchi ya China kwa ujumla wanapambana kujenga viwanda vya kutengeneza chip vya teknolojia ya Hali ya juu kuliko vilivyoko sasa China, japo challenge zipo, lkn wako njiani kutengeza chip advanced kwao China.
3#
only time will tell. China ni nchi ya pili kwa uchumi mkubwa duniani, sio ka_nchi. wanaanza kuwa wakali nao kwa marekani, upole wameamua kutupa kampuni. Je unamjua balozi mpya wa China nchini Marekani? China Haina mpango wa kurudi nyuma.
Wanafuga nguruwe sasa hivi , unamchezea beberu WA Washington weweHawana lolote ni miaka sasa wanakula ban bila ubishi wamesalender
Sasa Harmony OS si ndo android hyohyo, ila ni open source android ambayo ni ya google hyohyoKama sio Harmony Os Huawei mobile division ingekufa 100%.
Yes ni similar version ila cha muhimu sio Android licensed kwahiyo wamekwepa mishale ya kutokutumia teknolojia ya mmarekani google, wangeweza kitengeneza ya kwao differently ila ingekufa kibudu maana kuconvice developers kutengeneza apps za OS yako tofauti na android na za apple ni kimbembe, si unakumbuka symbion ya Nokia, window Mobile na Blackberry OS zilikufa kifo cha mbwa koko baada ya developers wakubwa kama WhatsApp's wa Meta kutangaza haitatoa apps zao jumlisha na developers wengine na yote hiyo ikichangia na kuwa na watumiaji wachache, yote haya namaanisha kutengeneza OS yako ya tofauti kabisa ni Suicidal kwa sasa, hata windows 11 inasupport Apps za Android natively bila kuwa na emulator.Sasa Harmony OS si ndo android hyohyo, ila ni open source android ambayo ni ya google hyohyo