Harmorapa akutana na P - Funk na kuongea mengi kuhusu music

Umaarufu kunuka, hebu tuwekeeni clip ya nyimbo yake tusikilize, kama ni comedy tayari Joti ndio mmiliki wa hilo eneo yeye amechelewa na hana kipaji hicho.
Wimbo#Nyimbo.
Wewe ndiyo unataka muziki wake!Sisi wengine hivi vituko vyake kwetu ni burudani tosha...He is mysterious super star!
Yeye ameshatoka.Alichobakiza ni kumaintain hii sanaa yake ya 'uigizaji'kupitia social networks...
 
Mkuu katafute movie moja hivi inaitwa
"STATE PROPERTY" ameicheza jamaa moja anaitwa Ben Segal na wenzake. Aisee kiingereza au lugha iliyotumika humo ni pasua kichwa.
Unamaanisha P Funk anaongea kama kina Ben Seagal?
 
Umaarufu kunuka, hebu tuwekeeni clip ya nyimbo yake tusikilize, kama ni comedy tayari Joti ndio mmiliki wa hilo eneo yeye amechelewa na hana kipaji hicho.
Mimi ni shabiki wake mkubwa Chifu...
 
***
HIRI NARO ALIJASWEKAWA RUMANDE....
 
BigDick hili jina lako shikamoo
 
Wanamdhihaki bila ya yeye kujua maskini
 
alishakataa pfunk amesema bado sana kwasasa hawezi kumruhusu arekodi kwenye studio yake
 
Kweli Shetani akizeeka anakuwa malaika,kipindi hicho bongo record mandezi walikuwa hawasogei.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…