Harmorapa akutana na P - Funk na kuongea mengi kuhusu music

Hv hapo mkubwa nani?
P funk mkubwa ,hamorapa anaonekana mzee kwa sababu ya ugumu wa maisha .
Ndio maana kaja mjini kujaribu kuimba kachoka kulima korosho ambao zinamzeesha wala hanufaiki nazo wanaonufaika nazo hata shamba hawalifahamu.
 
P funk mkubwa ,hamorapa anaonekana mzee kwa sababu ya ugumu wa maisha .
Ndio maana kaja mjini kujaribu kuimba kachoka kulima korosho ambao zinamzeesha wala hanufaiki nazo wanaonufaika nazo hata shamba hawalifahamu.
Kama kaja mjini kufanya mziki mbona cjausikia. Ni ujinha tu kila cku
 
Naona anaonyesha urimbo wa kina dada watachomoka kweli kwa mwendo huu?
 



Harmorapa akutana na JUMA nature aka KIROBOTO
 
Ujue Magu anakuona bro usije ukamchochea kamba izidi kukazwa,mana ataona bado pesa zinachezewa ngoja nikaze mikazo haswaaa
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…