Kajolijo
JF-Expert Member
- May 30, 2016
- 3,364
- 4,612
Msanii maarufu na machachari anayetikisa anga za Afrika Mashariki na Kati anayetabiriwa kupata tuzo nyingi mwaka huu kutokana na nyimbo zake kali kuwahi kutokea apa Tz na Afrika kwa ujumla amepata shavu la kuwa balozi na kampuni kubwa.
Ubalozi huo utamfanya kuwa maarufu dunian hasa kutokana kuwa na dola nyingi.
Hongera Harmorapa kiboko ya wachafu.
Ubalozi huo utamfanya kuwa maarufu dunian hasa kutokana kuwa na dola nyingi.
Hongera Harmorapa kiboko ya wachafu.