Harmorapa Fans' Special Thread...

Harmorapa Fans' Special Thread...

Hahaha Kwa hiyo na nyie MNAAMINI hizi story za uzushi... Sio kweli jamaa Anatafuta tu kick muwage mnashirikisha akili kwanza na kujua ukweli ili muweze ku judge realities and truth
mm huyu jamaa wakati anatoka nilikua shabiki yake no 1 lakini kwa hizi kiki ameanza kunishinda.........
 
Hivi Soudy Brown mbona kama ana akili za kishoga huyu kijana? Kuna anayemshikisha ukuta zaidi ya Lulu?
 
[HASHTAG]#Harmorapa4mtvbase2017[/HASHTAG]
 
BQTJTWAl8qT.jpg

Hapa anacheka

BRFy2tfDNYw.jpg

Hapa yuko na bonge la demu mimi, wewe na WCBOO tutaishia kulike picha.

BOQHAoAhisp.jpg

Hapa yupo na Bill Nas, Harmorapa akaiweka Insta, Bill Nas kwa ubishoo wake kaona picha imepigwa kwa kamera ya galaxy s3 hajaiweka IG. Mabishoo washazoea photoshoot nini si unajua....
 
Back
Top Bottom