Inaweza isihusishe mtonyo, ila huko kupanga kuonana si lazima kuwe na ushawishi fulani...au utavizia tu kila kona ukimuona mpige naye picha?.kwa hiyo kuonana na gigy kuna hitaji mtonyo?
We n mzungu?Mnanikera nyinyi mnaompa kiki huyu ngedere
AiseeeUnaambiwa baada ya Gigy Money kupigwa chini sasa Harmoraper Mzee wa kunwaga madola dola amkamata mtoto Amberlulu...Unamshauri nini huyu jamaa ni kweli Mademu wanamzimia au wanafuata pesa zake.....!!!
Mama yako anampenda sana Huyo unayemtukana sokwe MTU.acha dharau kumtukana bwana ya mama yako.eti sokwe MTU.Aiseee
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Haya bhana sokwe mtu mwacheni ajilie vyake
Huyu dogo mwisho wake utakuwa kama wa yule mwanamziki wa TAKEU! Naye alianza hivi lakini mwisho wake aliikimbia Tanzania.Mwisho wake ni mbaya sana.