[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Dah sijuw Harmonize anajisikiaga aje anapofananishwa nahili dude
Kwani ametukanwa wapi.....[emoji15] [emoji15]acheni matusi kwani alivyokuumba
mungu unajua? au ndo mnalala mlango wazi kwa ajili ya mafanikio ya huyu kijana. Haipendezi kabisa badilikeni
Ameshakusamehe.Huyu dogo simpendi teh sir God anisamehe
Hahhahahhaa....Mbona hiyo picha ni kama analia...[emoji45] [emoji45]
Au mimi ndio sioni sawia..[emoji15] [emoji15]
Hataki ujinga kabisa dogoo...hahhaa..Ana sura nzito mno
Umakonde wote unaonekana live! Uyu ntoto ntundu uyu! ndokoake hamonaiza!
anahisi kiingereza ni kutajataja tu maneno bila kanuniha ha ha ha ha kweli ujuaji ukizdi unakuwa ni ushamba dah inasikitisha sana
sidhan ata kama 4m4 yenyew kafka mbona at v2 vidogo vya la pil anashindwa kuvijuaanahisi kiingereza ni kutajataja tu maneno bila kanuni