Harmorapa Fans' Special Thread...

Hivi kuna mtu ana clip ya nyimboyake hatamoja aitupie hapa niisikilize.

Maana simfahamu huyu dogo naona fasta tu kwenye media.
 
Hahahaha... Jamaa nikimuona huwa nacheka sana,
sometimes nikikutana nae huwa najikaza tu...
Ila anatufanya angalau tunaongeza siku,
na kiutani utani tu unaezakuona jamaa anatoboa
[emoji28][emoji28][emoji28] huyu jamaa anaforce king mwisho wasiku utakuta watu wanamkubali tu hahahaha maana jamaa kajitoa ufahamu kwelikweli
 
They, ll just use, refuse, and then abuse him. He aint reach nowhere.
 
Huyu sasa ndio mshindani wa kibakuli,hatimaye kibakuli amepata wa level yake!
 
Harmo rapper sisi tumeamua kuwa fans wako haya Sasa Lete ngoma Piga kazi fasta utapata promo tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…