Harmorapa kuachia ngoma mpya leo "nundu", wimbo huu utafungiwa tu

Harmorapa kuachia ngoma mpya leo "nundu", wimbo huu utafungiwa tu

Ukifungiwa ndio utapata umaarufu zaidi, watu wanapenda vinavyokatazwa..!
 
Hizi chuki zenu zitawaueni na BP... Umepandikiza chuki za ajabu juu ya jambo ambalo huna ushahidi nalo.... Acha roho mbaya ndg yangu, fanya yako upate ridhki... Mwacheni dogo atafute pakutokea hayo ni Maisha yake na wewe Fanya yako.. Mbafuuuuu
 
Wakuu

imetangazwa leo msanii mwenye kupenda kiki hapa jijini kuliko kazi ataachia wimbo wake mpya unaokwenda kwa jina la "Nundu" humo amemshirikisha mkongwe aliyepotea kwa muda sasa CPWAA

sina wasi na ukali wa wimbo huo ila tatizo lipo kwenye video yake, kwani ameshatoa kionjo cha wimbo huo kikiwaonesha wanawake wakiwa wazi "makalio" yao nje nje hata nyeti zao pia ukizoom ni waaaaaaaaa

sasa huyu bwana mdogo alipofikia sio pazuri, anatafuta kiki kwa lazima kwani hapa lazima atembelee Kiki toka BASATA

Kwa kionjo hiki, Basata itoe onyo kali saaana kwa huyu dogo ikiwa hata kumfungia kabisa, anashindwa kufanya kazi yeye anataka ajadiliwe tu kwa upuuzi kama huu
naomba apewe adhabu kali na iwe fundisho

kionjo tu hakifai na hakiba maadili

link hii kujionea kionjo tu

Pambafuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu
 
Picha hizo haziko kwenye video ni za kuunga unga xo ..sidhani km maneno yako n kwel
 
Basata wangelikua na akili wangeanza kwa kuwafungia kufanya shughuli za Sanaa kama wafanyavyo TFF wasanii wote wanaokaa uchi kuanzia mtandaoni mpaka jukwaani mfano kina Gigy money + Amba Lulu + Tunda na wenzao wote,wangefanya hili ndio ningeamini kua kweli wamasimamia maadili na wasanii wangeogopa kwa kweli
 
Weka hapa hicho kionjo tukione kikoje.
10170775_680122692047566_1240385967658484429_n.jpg
 
We jamaa lazima utakuwa mchawi.....sasa Harmorapa akifungiwa we unapata nini?!
 
Back
Top Bottom