Harmorapa kuachia ngoma mpya leo "nundu", wimbo huu utafungiwa tu

Harmorapa kuachia ngoma mpya leo "nundu", wimbo huu utafungiwa tu

Nikafungua video speed nikidhani nitaona nyeti kumbe hamna bhana.... Mleta thread kweli chenga
 
Kumbe Harmorapa kick zinamfata yeye cio yy anazitafta kwa uongo huu
 
Haina haja ya kupoteza muda ufungiwe tu. Umekosa maadili mno,hivi wasanii kwani wimbo hawezi kuwa wimbo mpaka wanawake wadhalilishwe kiasi hiki.?!
Mwakyembe kasema wasiimbe siasa waimbe mapenzi. kwa hiyo kufungiwa mpaka uimbe siasa
 
Naona amefanikiwa mpaka umeamua kumleta huku
 
Wakuu

imetangazwa leo msanii mwenye kupenda kiki hapa jijini kuliko kazi ataachia wimbo wake mpya unaokwenda kwa jina la "Nundu" humo amemshirikisha mkongwe aliyepotea kwa muda sasa CPWAA

sina wasi na ukali wa wimbo huo ila tatizo lipo kwenye video yake, kwani ameshatoa kionjo cha wimbo huo kikiwaonesha wanawake wakiwa wazi "makalio" yao nje nje hata nyeti zao pia ukizoom ni waaaaaaaaa

sasa huyu bwana mdogo alipofikia sio pazuri, anatafuta kiki kwa lazima kwani hapa lazima atembelee Kiki toka BASATA

Kwa kionjo hiki, Basata itoe onyo kali saaana kwa huyu dogo ikiwa hata kumfungia kabisa, anashindwa kufanya kazi yeye anataka ajadiliwe tu kwa upuuzi kama huu
naomba apewe adhabu kali na iwe fundisho

kionjo tu hakifai na hakiba maadili

link hii kujionea kionjo tu

Wakiimba SIASA wenyewe WANASIASA HAWATAK.
Wakiimba mapenzi wanafungiwa
 
Back
Top Bottom