lulu za uru
JF-Expert Member
- Aug 7, 2015
- 2,557
- 3,221
Influence yao ni kubwa ila sio kiviiile simba akigusa kitu tu kinakuwa dhahabuChina c tayar jux kafanya na south co yeye wa kwanza Ay ndo alianza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Influence yao ni kubwa ila sio kiviiile simba akigusa kitu tu kinakuwa dhahabuChina c tayar jux kafanya na south co yeye wa kwanza Ay ndo alianza
Tunapishana humu humu ila kimtindo mtindo kuna wakati mambo yanakuwa mengi unachungulia na kusepa kama kwema basi kheri.Kwwma ndg yangu hatuonani siku hz, Sijui huko jukwaa gani jamaa yang?
Haha MSAGA SUMU kazini.
For serious tho, waliowekeza kwa Harmorapa wanapata faida(ROI) kivipi? Jamaa anapiga shows, anauza muziki, au inakuwaje?
Aisee,nasubiri kwa hamu nianze kupakua manyimbo ya ukweli kutoka katika kipaji cha ukweli
Hata ikiwa elfu kumi napakua tu.
Wanauza magari wenzio, angalia tshet anazovaa harmorapa utaona kampuni Yao pale, sio wajinga kiasi hicho, biashara imenoga wenzio, wameoga kwa kale kadogo kanakotangaza time flan pale EPL, wanasema kanakufa hakafi watu wanaingiza mkwanja tu kuanzia hospital had timu. Watu siku hizi kwenye kutangaza kitu wanaenda mbali sanaHaha MSAGA SUMU kazini.
For serious tho, waliowekeza kwa Harmorapa wanapata faida(ROI) kivipi? Jamaa anapiga shows, anauza muziki, au inakuwaje?