Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna watu wanajambisha tu kuchangamsha Biashara. Kuna mmoja akataka kunipa milioni Tano huko juu anakuambia anapeleka kulikataAlikujaribu kaona upo serious katokomea😂
Eeh bwana Ngoma ngumu, nimekomaa nayo sana ila raia wanaikimbia cc3000
Wanataka zile za kunusa mafuta kisha unaondoka😅Eeh bwana Ngoma ngumu, nimekomaa nayo sana ila raia wanaikimbia cc3000
Ukipita karibu na sheli mshale unarudi E taa inazima 😂Wanataka zile za kunusa mafuta kisha unaondoka😅
Eeh af Bora hata ingekuwa namba D, kuwa na usajili wa C inazidi kufanya zoezi kuwa gumuWanataka zile za kunusa mafuta kisha unaondoka😅
Ahahah.Ukipita karibu na sheli mshale unarudi E taa inazima 😂
Yeah,naelewa mkuu.Eeh af Bora hata ingekuwa namba D, kuwa na usajili wa C inazidi kufanya zoezi kuwa gumu
Hakika. Cc isizidi 1500Ahahah.
Kwa anayejitafuta, Harrier ni mzigo mzito.
Na Biashara imekuwa ngumu kama nauza jeneza kwa sababu ya hilo swali. Wabongo Bado tunajitafuta.Wale wazee wa kuulizia fuel consumption kabla ya kununua gari hii haiwafai
Utaiweza hii afsa?Njoo nikununulie hii gari Mkuu
Aina hii ya engine inakula km ngapi Kwa Lita 1?Wale wazee wa kuulizia fuel consumption kabla ya kununua gari hii haiwafai
Hii haimfai mrembo.Iko vizuri hawa warembo wa JF wangekua wanajibu PM ningemhonga mmoja hili dude..