Harris kapiga Vs Kifesi ndani ya bifu zito, kisa Mapenzi

Ni kweli lakini bado haiondoi ukweli kuwa, wakati wenzetu wakiyatafutia matatizo yao suluhisho.sisi huwa tupo bize kumuachia Mungu. Nimeisikiliza hiyo clip na kwa nilivyosoma ramani, there is still something wrong na kifesi mwenyewe
Hebu itume tuone.
 
Daah ukiwa huna fani ya umbea shida tu yaani mi hata sijaelewa, Harris ni jina la kiume kifesi sijui ni jinsia gani. Content ya habari naona mabasha
Yaani nimeachwa dada warumi

Soma comment za wanazengo utaelewa
 
huyu kapiga kujikuta pastor kumbe agawa biriani tu???
Ndivyo tulivyo watanzania, Mwizi anakaa na mchawi wakimsengenya mgawa biriani kuwa ni mdhambi zaidi yao. Mwisho wa siku Zote ni dhambi na haijalishi tunazitenda vipi.
 
Write your reply...Mi nilijuaga Harris wanamsingizia hiyo tabia
 
Samahani mkuu.. Harris kapinga ni pastor na ana heshima zake.
 
Ndivyo tulivyo watanzania, Mwizi anakaa na mchawi wakimsengenya mgawa biriani kuwa ni mdhambi zaidi yao. Mwisho wa siku Zote ni dhambi na haijalishi tunazitenda vipi.
hakika
 
Kisheria anayebakwa ni mwenye jinsia ya KE ila huu mji aisee
 
Hana hayo mambo , asingemsema lol , Ila ngoja na yeye aje tumsikie, hawa kuna kitu wanaficha ila kapiga Ndo mchezo wake huu.
Huyo kifesi ni mshirika ..hata sauti jinsi anavyoongea inasadifu kuwa yeye ni miongoni mwao katika wao
 
hii story haija balance sauti ya kifesi (inahisiwa) kwamba anamsimlia huyo mdada kwamba mzee baba h kp alikua anamshika mkuyenge ili awekwe kunako takoni.

Hunda h kp amezushiwa kabda ingesikika sauti yake kwamba anaomba mkuyenge wa kisura
 
Kusema kweli hiyo audio bado haiwezi ikathibitisha hata kidogo kuwa Harisi alitaka kufanya hayo, maana ni upande mmoja tuuu.
Hivi alichoongea kifesi humo si kinaweza kuongelewa na mtu mwingine tuu na ikawa ni uongo?
 
hii story haija balance sauti ya kifesi (inahisiwa) kwamba anamsimlia huyo mdada kwamba mzee baba h kp alikua anamshika mkuyenge ili awekwe kunako takoni.

Hunda h kp amezushiwa kabda ingesikika sauti yake kwamba anaomba mkuyenge wa kisura
sema hata kama ni uwongo watu wataanza muamini maana htangu akina Konki masta wamtaje yeye mpk huyu nae aibue hili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…