Mzigua90
JF-Expert Member
- Sep 23, 2014
- 38,342
- 88,625
Eeeeh..Hahahaha kasema nani, Mange Kimambi au? LOL
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Eeeeh..Hahahaha kasema nani, Mange Kimambi au? LOL
Basi hiyo itakuwa kweli, hajawahi kuniangusha yule intelijensia wa Idara ya habari, maelezo.Eeeeh..
Ha haa haaa...! Nimefikiria kitu km hiki na ghafla nakutana na hii comment. Nashukuru mm nimesoma michango yote mpaka nikaelewa anayesemwa..! Ukweli huu uzi haufiki saa 8 mchana...Someni haraka huu uzi uko ICU unaweza kukata roho dakika yeyote
Hatoagi taarifa za uongo.. sema wanampelekea wenyewe ndio maana nyingi ni za kweli.Basi hiyo itakuwa kweli, hajawahi kuniangusha yule intelijensia wa Idara ya habari, maelezo.
Jitahidi ukue vizuri vyote vitakua vya kwako.Na sisi tuwe wakubwa tufaidi asee...
Itapendeza sana...
Haya ngoja nianze kupiga jaramba nihamishie makazi jengo jeupe...Jitahidi ukue vizuri vyote vitakua vya kwako.
[emoji2] [emoji2] [emoji2]page ya kwanza imepita kapa, ya 2 nikaunga unga mpaka kujua anaesemwa ni yule ana kichwa kibaya na kidevu kama konzi ya yuda eskarioti (akichorwa kikatuni)
Padre hawezi kitu, ile nyumba iliyopakwa chookaa nyeupe ya chief haina malkia the new mommy amejitandaza kwa raha zake.
President Loves my wife??Mwenye kujua nitapata wapi kitabu cha 2003 kimeandikwa na EJ Shigongo...nimesahau Tittle.
Hivi ikitokea mwenye mali kamwaga mboga hadharani, nini hatima ya you know who?Haya yote yatawekwa wazi tu.
Especially kwa unoko huu wa kujifanya mwisho wa habari zote.
Kuna mtu atamwaga mboga tu.
HahaahahaBasi hiyo itakuwa kweli, hajawahi kuniangusha yule intelijensia wa Idara ya habari, maelezo.