Kindeena
JF-Expert Member
- Sep 27, 2017
- 11,462
- 21,124
Nikiandika zaidi naweza hitajika kupeleka mkojo kwa Mkemia mkuu
usiwaze, mahakamani utadai kuwa mkojo uliopimwa ni polisi aliyekusindikiza chooni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nikiandika zaidi naweza hitajika kupeleka mkojo kwa Mkemia mkuu
Nita dili nae sahani moja huo mwalimu KESiku hizi inasemekana hata watoto wanafaidi. Mwalimu wa darasa la tatu alimtunuku mmoja wa wanafunzi wake ili naye afaidi utamu. Huwezi jua yule Mwalimu KE darasani kwako anaweza pia kukutunuku kwa kuwa wa kwanza kwenye somo lake kila mara.
Nita dili nae sahani moja huo mwalimu KE
Ulishawahi leta uzi flani juzi, ile aenda kuucomment nakuta uzi umefutwa!..[emoji23]Mnakumbuka kile kitabu cha Harry Porter, basi you know who alikutana na dada kisura na walipata mtoto.
You know who is a new daddy. Ki sheria apewe wiki mbili za paternity leave ili abound na mtoto.
I dunnoWho knows !?
kwahyo ndo kusema malkia wa maradhi nae alipitiwa na dhoruba akashindwa kwenda na maji akapona!?..Na vp bifu la kaka mkubwa na dada wa Taifa linatokana na nini?..Ni baada ya picha ya mama germ stones kuonekana kwa uncle akiwa bado na mzigo. Mods waliona ni hoax story.
Wale wanajuana wote ni wakupenda publicity. Kaka mkubwa alihusika na mbinu za kuweka dada Oyster Bay police. Na kumwambia wakina Kinje kuwa mtu wenu yuko ndani.kwahyo ndo kusema malkia wa maradhi nae alipitiwa na dhoruba akashindwa kwenda na maji akapona!?..Na vp bifu la kaka mkubwa na dada wa Taifa linatokana na nini?..
New Dad in Town....[emoji12] [emoji12] [emoji12]Mnakumbuka kile kitabu cha Harry Porter, basi you know who alikutana na dada kisura na walipata mtoto.
You know who is a new daddy. Ki sheria apewe wiki mbili za paternity leave ili abound na mtoto.
Hahaaaaaahaaaaaaaa......[emoji13] [emoji13] [emoji13]Mh sikijui hata tusubirie wanaokijua
Pigia mstari....Hahahaha kwan hizi habari za kumpa mimba mke mdogo na
",you know who" ni kweli????
Nisaidie maana sielewi kituHahaaaaaahaaaaaaaa......[emoji13] [emoji13] [emoji13]
Ebu uje huku nikifanyie tafasiri
mkuu, hata picha hauoni...[emoji15] [emoji15]Honestly sijaambulia chochote
Ngoja nikuandikie kwa kijaluoKwakweli sijaelewa kitu
Ni baada ya kile kipigo cha mbwa, alipotoka hospitali alikataa kurudi. Ilibidi apelekwe kw nabii wa kutembea na socks. Aliporudi aliweka msimamo kuwa harudi ilibidi wamtembelee padre mkubwa kabisa nako ilishindikana.New Dad in Town....[emoji12] [emoji12] [emoji12]
Inasemekana eti mwanamke # 1 amemuvuzishwa kutoka kwenye nyumba ya magogo....[emoji13] [emoji13]
Duhhh.....Ni baada ya kile kipigo cha mbwa, alipotoka hospitali alipata kurudi. Ilibidi apelekwe kw na II wa kutembea na socks. Aliporudi sliweka msimamo kuwa harudi ilibidi wamtembelee padre mkubwa kabisa nako ilishindikana.
Amepewa nyumba na ulinzi na anatokea kwenye public occasions kutuzuga Wadanganyika.