Harufu sehemu za siri wakinadada tatizo ni nini?


Sawa binti kiziwi
 

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
UTI imekuwa changamoto sana, ndio inaongoza kwa takwimu ya wagonjwa imepiku hadi Malaria
tuache kuwachapa wadada kavukavu
 

Mkuu kwann katika hao wanawake 70 na ww uwepo unalionaje hilo ili hongera yako iwe kutoka moyon kabis
 
Huo ni ugonjwa, unawasumbua wadada wengi kwa kweli na ni embarassing sana kwao. Inabidi mwanaume kama mwanamke wako ana hilo tatizo umsapoti sana na sio kumsimanga na umshauri aende hospitali (ikiwezekana nenda nae hospitali kabisa); Ila ni tatizo sugu kwa wadada na kwa kweli saa zingine matibabu yake ni complicated sana.
 
Ngoja ninyamaze, nadhan haupo serious

Ivi unadhan hayo ni yakusadikika???



Wengine hawana magonjwa, ila mnakula sana hela za watu. Alafu mnawaacha .. Mtu anaenda kukuchawia, K inakua inanuka tu muda wote.

Kula hela ya mwanaume bure bure ni hatar[emoji23][emoji23]
 
Jaman ukikutana na mwanamke hivyo washaurini waende hospital watibiwe,huo ni ugonjwa msipowaambia haisaidii mtazidi lalamika
Sawa Dina. Mambo vipi lakini Dinazarde? Umekuwa ukionekana huku kwa machale sana. Tatizo ni nini au majukumu mengi pamoja na kubwana na shemeji?
 

Swa mkuu
 
Mi nachojua papuchi ina harufu kama ya maziwa mabichi kwa mbaaali na huwa haikeri
 
Wengi wako hivyo, wale wasafi ndio hawana hio harufu
 
harufu kama hiyo napiga kamoko kukata kiu natembea mbele
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…