Harufu sehemu za siri wakinadada tatizo ni nini?

Harufu sehemu za siri wakinadada tatizo ni nini?

Kuna kitu umeongea hapa wanawake niliokutan nao wananuka wengi ni Wale awajatulia ila walio tulia sijakutan n mweny arufu

Sio kwel unaeza kutana na mwanamk ni bonge la mcharuko lkn ni msaf mpk huwez kuamin yan kifup tu kuna wengn wananuka kwa uchafu na wengn wananuka ndio asili ya papuch zao mpk wengn wanatumia manukato ya kuingiza ndan ya papuch
 
Huyo wa kwako.huwa anaweka viungo huko chini ndo maana ananuka.
Watu mbona tupo natural.na fresh .
Mpeleke hospital na umshauri afate tatatibu zote za kujisafisha.naama wanajileteaga magonjwa wenyewe.
 
Kwa uzoefu wangu katika wanawake 10 basi mmoja anakua na hii shida... nimefatilia wengi wao naona ni magonjwa ya zinaa... msibishe guys hili jambo lipo

Atakae bisha bhas huyo ni mvulana ambae hajui dunia inaenda vp
 
Sio kwel unaeza kutana na mwanamk ni bonge la mcharuko lkn ni msaf mpk huwez kuamin yan kifup tu kuna wengn wananuka kwa uchafu na wengn wananuka ndio asili ya papuch zao mpk wengn wanatumia manukato ya kuingiza ndan ya papuch
Kunuka husababishwa na vitu vifuatavyo:-
1 Fangasi

2. Bacteria wanaosababishwa na uchafu wa hedhi baada ya kukaa na pedi muda mrefu bila kubadilisha.

3 Uchafu( wanawake hupenda kutumia toilet paper baada ya kujisaidia pasipo kutumia maji kwa sababu wengi wao wanafuga mikucha kama Paka la porini).
 
Hahahahaha kuna moja nilikutana nayo aiseeeeeeee

Ilibidi mashine isinyae hapohapo, sikukojoa hata cha kwanza.

Nikaoga ,nikasepa, aiseeeee njia nzm nilikua najishtukia, ilibdi nikatafute spray chapchap nika najipulizia kila mara .


SIKUMTAFUTA TENAA NA UKAWA MWISHO.


Mifangasi
Kugongwa sanaa na wanaume tofaut wanaomwachia shahawa
Kugonga dem aloliwa siku moja au mbil zilopita
Magonjwa ya kisukari, Ngoma n.k
Kua mnene kupita kiasiiii na asijue kufanya usafi.
K inayokaribia hedhi siku 1-2 kabla ya hedh
K ilotoka hedhi



Ila kuna K unakutana nayo. Unaamua Kuilamba tu[emoji39]

Mkuu ungevaa hata barakoa[emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom