Harufu ya ufisadi stendi mpya Mbezi: Je, CHADEMA ilishindwa kuisimamia Serikali ipasavyo?

Harufu ya ufisadi stendi mpya Mbezi: Je, CHADEMA ilishindwa kuisimamia Serikali ipasavyo?

Magufuli aifokea vikali kampuni ya Wachina: Tanzania hakuna Corona, Mnachelewesha mradi kisa Corona.! wakatwe


Siasa inafurahisha, serikali tajiri ya Tanzania kuwashitaki wakandarasi kwa rais Lazarus Chakwera wa Jamhuri ya Malawi, walipeni pesa wakandarasi kwa muda muafaka na siyo hizi sarakasi za majukwaani
 
Meko anadhani wahanga wa kuvunjiwa watasahau alowafanyia.
Ni ushetwaaani wa hali ya juu alofanya meko kimara mbezi
Mshiki uko na sonona kali sana,mkurugenzi ndio mshika pesa fanya fasta chukua boda ukamuulize hilo swali, mimi ntalipa hela ya boda.

Yani mwaka huu mtatema ulimi meko huko kimara na mbezi hawataki kumsikia pamoja na kujipitisha sana njia hiyo.

Yani majimbo ya Dar mnapigwa spana size zote
.
View attachment 1593754
 
Kadri mkono wa sipana unavyokuwa mrefu ndivyo inavyorahisisha ulegezaji wa nati
 
Mshiki uko na sonona kali sana,mkurugenzi ndio mshika pesa fanya fasta chukua boda ukamuulize hilo swali, mimi ntalipa hela ya boda.

Yani mwaka huu mtatema ulimi meko huko kimara na mbezi hawataki kumsikia pamoja na kujipitisha sana njia hiyo.

Yani majimbo ya Dar mnapigwa spana size zote
.
View attachment 1593754
Mbona mispana mingi sana? Watahimili kweli ...
 
Kama nimemsikia vizuri, bilioni 20 zimeongezeka kwa sababu ya ujenzi wa daraja (flyover) kwa ajili ya kuvukia abiria upande wa pile kwenda kituoni. ambalo halikuwemo katika mpango wa awali. Ndio maana anasema atafuatilia kuona daraja hilo linalojengwa kwa bilioni 20
 
Kama nimemsikia vizuri, bilioni 20 zimeongezeka kwa sababu ya ujenzi wa daraja (flyover) kwa ajili ya kuvukia abiria upande wa pile kwenda kituoni. ambalo halikuwemo katika mpango wa awali. Ndio maana anasema atafuatilia kuona daraja hilo linalojengwa kwa bilioni 20
Daraja kama la Manzese au bondeni kawe ndio sh bilioni 20?!!!!
 
Rais wa JF na twitter.

Makamu wa Rais ni Amsterdam ambaye kwa sasa anakaimu ukatibu mkuu wa UN.
Jiandaeni tu na makonda wenu. Alivyokuwa akiwapa hela mnakuja kumsifia humu mlijua zinatoka wapi? Mtake msitake. Raisi wa Jamhuri ya Muungano Tanzania 2020-2025 ni Tundu Antiphas Lissu
 
Wangesimamia na kulinda vipi hizo pesa wakati kila siku walikuwa watu wa kukimbizana na polisi, kushinda mahakamani kufuatilia kesi za kubambikizwa,kuwekwa ndani na Makonda masaa 48!
 
Thamani ya mradi uliosainiwa na serikali kuu ni sh bilioni 51 lakini leo waziri Jaffo kasema mradi utagharimu bilioni 71.....hapo ndio Magufuli machale yamemcheza!
Hii serikali iliyomaliza kabisa rushwa imekubalije kupoteza b.20 kipuuzi hivi?
Hao madiwani wa CDM mliowafungia nje ya ofisi wangemsimamia nani na ofisi zote mnamiliki nyie watakatifu uchwara.?
Hivi wakati anaongea haya yule Temporary Campaign Manager toka Malawi alikuwa amelala?
 
Rais Magufuli amesema kuna harufu ya ufisadi katika ujenzi wa stendi mpya ya mabasi ya mikoani na nchi jirani ambapo nyongeza ya Sh bilioni 20 haielewki ina tija gani.

Rais Magufuli ameahidi kulichunguza swala hilo na kuchukua hatua stahiki.

Ikumbukwe kuwa Halmashauri ya jiji la Dar es Salaam ilikuwa inaongozwa na Chadema na baadae CCM.

Ndio kusema wakati mradi unasainiwa meya wa jiji alikuwa Isaya Mwita wa Chadema ambao ndio wasimamizi wa serikali kwenye miradi inayosimamiwa na jiji.

Je, nyongeza hii ya sh bilioni 20 ilikuwa na baraka za baraza la madiwani lililosheheni madiwani wa Chadema?

Maendeleo hayana vyama!
Kwani chadema ndio wanaokusanya mapato na kutekeleza miradi?
 
Jiandaeni tu na makonda wenu. Alivyokuwa akiwapa hela mnakuja kumsifia humu mlijua zinatoka wapi?
Mtake msitake. Raisi wa Jamhuri ya Muungano Tanzania 2020-2025 ni Tundu Antiphas Lissu
Tokea uuze utu wako hapo ufipa basi unafikiri kila mtu anatumika kama wewe.
 
Nahisi upigaji ulifanyika mara baada ya kumuondoa Mwita.
Na huo utajiri unaodaiwa ni wa kutisha aliopata Makonda akiwa RC wa Mzizima alicheza bingo?
Wizi wa mali ya umma hauna chama.Kamata Makonda na wasimamizi wa mradi waturudishie change yetu.
 
Back
Top Bottom