๐Mimi Binafsi nimejipanga Kula papuchi nyingi FRESH kwa kadri nitakavyo weza. Why & HOW? ๐
๐Effect za vita zitaiathiri dunia nzima.
๐Kwenye suala la uchumi hali itakuwa kama korona vile.
๐Umasikini utaongezeka maradufu.
๐Mabinti hawatakuwa na kimbilio zaidi ya kujisalimisha kwa akina Likud @ Company.
๐Na Mimi sintokataa. Nitawakaribisha kwa Mikono miwili.
๐Mimi nimeletwa duniani kwa ajili ya kustarehe.
๐NDIO maana kila siku ninaitafuta starehe mahali popote pale ilipo.
๐Maana asili yetu sisi wanadamu ni starehe.
๐Bila starehe hakuna binadamu angezaliwa.
๐Hata Mungu alistarehe baada ya kumaliza kazi ya uumbaji.
๐Kiutani utani hivi hivi inaweza kutokea vita kuu ya 3 kweli.
๐Au hata isipotokea basi italeta athari kubwa sana na kubadilisha mfumo wa maisha juu chini.
( KILAZA ANAJIULIZA JE MIMI VITA HAITONIATHIRI KIUCHUMI?)
Jibu ni : ๐๐๐๐๐๐
Haitaniathiri kwa sababu sikwenda kukariri shule kama wewe. Nimejifundisha maarifa halisi kuhusu maisha halisi. Moja wapo ni namna ya kusurvive na kuthrive kwenye nyakati ngumu kama nyakati za vita. Nimejifunza kuhusu principles za military science. Fundisho la miaka 7 ya njaa na miaka saba ya neema kupitia story ya Yusufu ninaliishi kwa vitendo. Na Sisubiri mpaka nioteshwe ndoto. Ninachukua hatua wakati wote nyakati zote)
TUFANYE NINI SASA EEH RABBI?
Toeni watoto wenu kwenye shule za EM, warudisheni Kayumba haraka sana ( Hii inawahusu wale watanzania vilaza wanao jistress kulipa mamilioni kwenye shule za EM huku wakisahau kufanya mambo mengine ya kimaendeleo kama vile kujenga nyumba, kufanya uwekezaji halisi kwenye mali halisi etc)
Watoe haraka sana. Nenda sasa hivi. Usitembee. Kimbia fasta toka nduki we kimbia ukianguka ukistuka inuka vumilia".
Hiyo pesa wekeza. Weka akiba. Itakusaidia wakati wa shida.
Nakuacha na andiko๐๐
" Cast the bread upon the waters, For thou shall find it after many days.
Give a serving to seven and also to eight. For thou shall not know what evil shall be upon the earth.
If the clouds be full of rain, they empty themselves upon the waters.
And the tree faleth towards the South or towards the north in the place where the trees falleth. There it shall be"
( Ecclesiastes 11๐) (MHUBIRI 11 )
Thank me later ๐๐ป๐๐ป๐๐ป