Harusi ya Alikiba ukumbi/mapambo kugharimu sh milioni 40 za Tanzania

Si mbaya sponsor kagharamia kila kitu,chezea wakenya badala ya jamaa kuoa yeye ndo ana.... aiseee acha pesa iitwe pesa
 
Hongera yake tunamtakia kila la kher ila ajue ndoa zinachangamoto kubwa kuliko I Gf en Bf
 
nimependa vile ali kiba alivyoitumia brand ya jina lake kupiga pesa kwa tukio la harusi.

kwa hakika hiyo ndiyo tafsiri sahihi ya mtu kuwa maarufu, jina lako pekee liwe bidhaa ambayo inaweza kukuingiza pesa.

sio unakuwa maarufu uchwara kiasi kwamba ukitembelea katika baadhi ya sehemu hakuna anayekufahmu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…