Mama Sabrina
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 16,620
- 27,589
HhhhaaaaaHaka katoto sio kakali kiviiile...
Sema kwa kuwa ni katoto ka Dangote, haina jinsi inabidi tukasifie tu
Kwa hiyo unawasema wenye chura[emoji23][emoji23]Nani kakuambia kuw wenye chura wanaolewaga?
Hio bajeti unakula miaka yote na watoto wako sabrina na wengine wa5[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mambo mengine yanahuzunishaNimeipenda shela ukute ni bajeti nzima Ya Tanzania
The world is not fair abegooo
Kwa hiyo unawasema wenye chura[emoji23][emoji23]
Wa hapa kwetu yule yule mwenye kushikaga vichwa vya watu yuleeeeeee....................Ameoa mtoto wa aliekua IGP Nigeria
Duh [emoji87]Wa hapa kwetu yule yule mwenye kushikaga vichwa vya watu yuleeeeeee....................
Aoeleweje wakati ushasikia alikuwa mtoto wa Simon sirro wa NigeriaHuyo mume wa binti wa Dangote ahesabu kuolewa yeye tu!
Omo! Kafungue file la kuibiwa police station inakuaje umeibiwa halafu unalalamika bila kuchukua hatua jifunze kuwa na adabu yeye sio malaika kusema a fix kila sehemu hakuwa wakwanza wala wa mwisho cha muhimu omba Mungu ipatikane katiba mpya ili mikataba ya hivo vitu vilivyotajwa iwe wazi na yafaida kwa taifa na sio iyo mihemko yako haita saidia bila katiba ya kuvilinda.investment za akili mimi sizioni zidi ya kuibiwa kifala mchana kweupe.Kuanzia Umeme, Madini , Maliasili ni uwekezaji gani wa akili hapo.
utamuoa mtoto wa dr shika bilionea mwenzakoCjui mm ntamwoa mtt wa nan hapa Tz
mimi hukuniona hapo jirani kabisa tajiri AD.Wageni tulikuwa weng sana
Alisahau kunyoa hizo ndevu pale saluni.Huyo bwana nae atakua na Cv...
Magu kawezaje wakati katiba mpya bado.Waswahili mlishazoea kulizika na ngoma ya mdundiko na pilau tuOmo! Kafungue file la kuibiwa police station inakuaje umeibiwa halafu unalalamika bila kuchukua hatua jifunze kuwa na adabu yeye sio malaika kusema a fix kila sehemu hakuwa wakwanza wala wa mwisho cha muhimu omba Mungu ipatikane katiba mpya ili mikataba ya hivo vitu vilivyotajwa iwe wazi na yafaida kwa taifa na sio iyo mihemko yako haita saidia bila katiba ya kuvilinda.
Kumbe muwekezaji rafiki wa prezidaa.. Napata wasiwasi na huo uwekezaji kama ulilenga kuinufaisha TZ, au kumkirimu rafikiAliko hakuja ku invest kiboya mshukuru kikwete alikua na connection za akili watu walinufaika kwa ajira kemkem usimchukulie poa hao ni marafiki eti kawakilisha wastafu! mheshimu kikwete
Unaota ndoto za vuliAsante mungu wengi hawakuamini kama naweza kumwoa mtoto wa kishua sasa ni wangu
Sawa MkuuUnaota ndoto za vuli