Harusi ya binti wa Dangote yafana! Yahudhuriwa na vigogo wakiwemo Bill Gates na Jakaya Kikwete

Harusi ya binti wa Dangote yafana! Yahudhuriwa na vigogo wakiwemo Bill Gates na Jakaya Kikwete

kadoda11

JF-Expert Member
Joined
Jan 6, 2011
Posts
21,453
Reaction score
20,746
Inasemekana matajiri wengi wakubwa wa level ya Forbes akiwemo Bill Gates na watu mbalimbali mashuhuri duniani walihudhuria.

Kwa mujibu wa mtangazaji wa runinga nchini Kenya, ndugu Jeff Koinange, anasema hata mzee wetu kipenzi Rais mstaafu wa Tanzania mzee Jakaya Kikwete alihudhuria.

Picha kwa msaada wa mtandao wa Instagram.

--------
TAARIFA ZAIDI..

Sherehe ya kifahari ya binti wa Bilionea namba moja Afrika, Aliko Dangote aitwaye Fatima Dangote, yazua gumzo nchini humo kutokana na kuhudhuriwa na watu mashuhuri kutoka sehemu mbalimbali duniani akiwemo Bilionea kutoka Marekani, Bill Gates.

Naye Rais Mstaafu wa Tanzania, Jakaya Kikwete alikuwa ni miongoni mwa wageni wa heshima waliohudhuria katika sherehe hiyo ya kihistoria.

Wengine walioudhuria ni pamoja na mke wa Rais wa sasa wa Nigeria, Hajiya Aisha Buhari; Makamu wa Rais, Osinbanjo; Spika wa Bunge, Magavana na Watu wengine mashuhuri wakiwemo wasanii na wafanyabiashara wakubwa.

Davido na Wizkid waliangusha show moja kali sana mpaka mzee Dangote mwenyewe ikambidi ayarudi magoma.

Tafrija hiyo ya mapokezi baada ya ndoa (reception party) kati ya Fatima na mumewe ambaye ni mtoto wa Mkuu wa Jeshi la Polisi mstaafu, Jamilu Abubakar, ilifanyika jana Ijumaa katika Jiji la Lagos.



a4aa29684b18350f846bd3bd9ec25e05.jpg
769a4bced1422a0ae3b6f451ba7d2858.jpg
f920842337cbfcd4d13a1bb0d2661645.jpg
JKIKWETE.jpg
 

Attachments

  • IMG_20180324_150229.jpg
    IMG_20180324_150229.jpg
    61.6 KB · Views: 521
  • 68676d697c73abc5ba3d8b8e2241ec55.jpg
    68676d697c73abc5ba3d8b8e2241ec55.jpg
    47.1 KB · Views: 502
  • 6280e37e4c1dd28f54b6baf6201db563.jpg
    6280e37e4c1dd28f54b6baf6201db563.jpg
    74.6 KB · Views: 493
  • 38f75d836816f3c7a4eb1238a9878abb.jpg
    38f75d836816f3c7a4eb1238a9878abb.jpg
    39.5 KB · Views: 495
  • 0b7764e2d1c53e3634ca6e015af1eded.jpg
    0b7764e2d1c53e3634ca6e015af1eded.jpg
    47.2 KB · Views: 503
  • 4d5a77c8ecfcc2fcb6e05e9edc1c191e.jpg
    4d5a77c8ecfcc2fcb6e05e9edc1c191e.jpg
    10.4 KB · Views: 505
  • 0c235fe3368022a1265b3c1a69e0b733.jpg
    0c235fe3368022a1265b3c1a69e0b733.jpg
    73.7 KB · Views: 463
  • 2b1aa699a554ceef311a2a318c34153d.jpg
    2b1aa699a554ceef311a2a318c34153d.jpg
    120.3 KB · Views: 510
  • 11c76c3e1a59ef32bee89cb953a84ea5.jpg
    11c76c3e1a59ef32bee89cb953a84ea5.jpg
    126 KB · Views: 480
  • 752e1e9a738236010972400147560fe3.jpg
    752e1e9a738236010972400147560fe3.jpg
    85.2 KB · Views: 484
  • 77d49763a5c8bd1d6a6b7ee113b78eaf.jpg
    77d49763a5c8bd1d6a6b7ee113b78eaf.jpg
    78.6 KB · Views: 507
  • d752b38b5535aef218555f6b0f260df4.jpg
    d752b38b5535aef218555f6b0f260df4.jpg
    85.2 KB · Views: 503
haka kabibi harus kamebeba ugonjwa wangu..(MWANYA)
 
Back
Top Bottom