M24 Headquarters-Kigali
JF-Expert Member
- Jul 9, 2012
- 8,199
- 8,186
Hongera sana Msemaj wa Klabu kubwa Afrika
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siyo mke mmoja.Nawaza kama yule mke wa kwanza yamemshinda, tena kazaa nae watoto. Huyu binti mdogo ataweza kash kash za Haji?
Abeeeeh!!!Siyo mke mmoja.
Wake wawili wakewenza akaishi nao kwao mwembechai.
Huyo aliyeolewa ni wa tatu.
Mweh, basi balaa. Na wote wawili wameachana nae?Siyo mke mmoja.
Wake wawili wakewenza akaishi nao kwao mwembechai.
Huyo aliyeolewa ni wa tatu.
DooooohKwa ushauri wa haraka Manara asingeoa kabisa na kama kuoa angeoa Mwanamke mkubwa above 35 au forty. Why
Manara ana kisukari kikali sana hivyo hawezi kumridhisha mke hasa mdogo kama huyo na ndio sababu kubwa ya kuachwa na mke wa kwanza.
Kuruhusu mume kuoa mchezo.Si alijitutumuaga kuwa ye ndo alimruhusu bwana akaoe...hahahaaa
Kumbe..kisukari ni hatari jamani. Ila huo umri unaosema wanawake wanakuwa washamaliza kuzaa wanakuwa wa moto hatari, ndoa nyingi zinayumbia hapo na viserengeti boy kutake over.Kwa ushauri wa haraka Manara asingeoa kabisa na kama kuoa angeoa Mwanamke mkubwa above 35 au forty. Why
Manara ana kisukari kikali sana hivyo hawezi kumridhisha mke hasa mdogo kama huyo na ndio sababu kubwa ya kuachwa na mke wa kwanza.
Mume anauma bwana.Kuruhusu mume kuoa mchezo.
Huo Umri ndo balaa na libido aseeeh.Kwa ushauri wa haraka Manara asingeoa kabisa na kama kuoa angeoa Mwanamke mkubwa above 35 au forty. Why
Manara ana kisukari kikali sana hivyo hawezi kumridhisha mke hasa mdogo kama huyo na ndio sababu kubwa ya kuachwa na mke wa kwanza.
Tena baada ya kusikia mtalaka mdogo kaolewa akaenda kumchukua huyo mwanae waliyezaa Fetty na vijembe kibao.Abeeeeh!!!
Sa hizi na ye kuolewa uke wenza sijuiMume anauma bwana.
Tena kwa kupigiana simu na kudai talaka pamoja.Mweh, basi balaa. Na wote wawili wameachana nae?
Ahahahahahhaha dah.Tena baada ya kusikia mtalaka mdogo kaolewa akaenda kumchukua huyo mwanae waliyezaa Fetty na vijembe kibao.
Ameoa huyo mwanamke kwa hasira na kujionyesha.
DaaaadeqqqqTena kwa kupigiana simu na kudai talaka pamoja.
Alianza mkubwa huku na huku msuguano mdogo nae akaomba talaka.
Mwanaume anayekaa kwenye mkeka na kula mirungi huku anasikiliza taarabu muogope.Ahahahahahhaha dah.
Ndo kisa cha kusema mahari m100.
Mxxxxxie ili kwamba wengine waone hawakutolewa nyingi?
Akwendreee