Harusi ya Haji Manara

Harusi ya Haji Manara

Kwa ushauri wa haraka Manara asingeoa kabisa na kama kuoa angeoa Mwanamke mkubwa above 35 au forty. Why
Manara ana kisukari kikali sana hivyo hawezi kumridhisha mke hasa mdogo kama huyo na ndio sababu kubwa ya kuachwa na mke wa kwanza.
 
Siyo mke mmoja.

Wake wawili wakewenza akaishi nao kwao mwembechai.

Huyo aliyeolewa ni wa tatu.
Mweh, basi balaa. Na wote wawili wameachana nae?
 
Kwa ushauri wa haraka Manara asingeoa kabisa na kama kuoa angeoa Mwanamke mkubwa above 35 au forty. Why
Manara ana kisukari kikali sana hivyo hawezi kumridhisha mke hasa mdogo kama huyo na ndio sababu kubwa ya kuachwa na mke wa kwanza.
Doooooh
 
Kwa ushauri wa haraka Manara asingeoa kabisa na kama kuoa angeoa Mwanamke mkubwa above 35 au forty. Why
Manara ana kisukari kikali sana hivyo hawezi kumridhisha mke hasa mdogo kama huyo na ndio sababu kubwa ya kuachwa na mke wa kwanza.
Kumbe..kisukari ni hatari jamani. Ila huo umri unaosema wanawake wanakuwa washamaliza kuzaa wanakuwa wa moto hatari, ndoa nyingi zinayumbia hapo na viserengeti boy kutake over.
Bora huyu atamkeep busy kwa kumzalisha zalisha.
 
Kwa ushauri wa haraka Manara asingeoa kabisa na kama kuoa angeoa Mwanamke mkubwa above 35 au forty. Why
Manara ana kisukari kikali sana hivyo hawezi kumridhisha mke hasa mdogo kama huyo na ndio sababu kubwa ya kuachwa na mke wa kwanza.
Huo Umri ndo balaa na libido aseeeh.
Bora huyo.
Huko ndo haifai
 
Back
Top Bottom