Harusi ya kuolewa Binti wa Rais Hussein Mwinyi

comrade_kipepe

JF-Expert Member
Joined
Jun 25, 2019
Posts
3,411
Reaction score
4,435
Nmepita pita kwenye mtandao nimekutana na picha za sherehe ya HARUSI ya kuolewa kwa BINTI ya muheshmiwa Rais wa Zanzibar Ndugu Hussein Mwinyi.

Nmepatwa kiu ya kujua huyu mshaikaji aliepata hii Bahati, na naskia jamaa NI mmasai wa Arusha na NI Mkristo sasa sijajua Nani kabadilisha dini hapo, wataalamu wa mambo wazee wa kuchimbua taarifa mbalimbali leteni majibu.

Naskia shehere ilihudhuruiwa na Mawaziri wengi Sana wa bara na visiwani, pamoja na Babamkwe (Raisi wa Zanzibar) baadhi ya wageni alikuwepo mama Samia

Huyo dogo nadhani hata yeye kwao mambo yatakuja sio mabaya atakua wa kishua, hivi wanakutania wapi na hawa watoto wa Marais? Huyu jamaa anabahati sana, naskia sherehe ilihudhuriwa na watu zaidi ya 2500 na wengi viongozi wa serikali.

 
Unapanda Ngorika na Avoid then ukutane na watoto wa Kishua?

Kwanza hawa probably hukutana abroad kwe ye event nzito nzito au kwenye midege mkubwa wakielekea abroad.

Huwakukutana kwenye daldala za simu 2000 au za Mbagala
Daah asiee acha niseme asante ndgu yangu, umeua kabisa matumaini ya kupata toto la kibosile
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…