evangelical
JF-Expert Member
- Nov 21, 2011
- 5,035
- 8,218
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alafu mabinti wa hivi huwa hawaringi, kutana sana na Rihanna wa kwa mtogole hizo maringo
Kabisa tena ukioa alafu mkaachana na mtoto wa Rais kwa hizi nchi zetu za Dunia ya tatu mbona Dunia utaiona chungu.Kataa Ndoa.. Ata awe mtoto wa nani we Kataa.
ameibana kwenye ushungi ambacho huelewi ni kipi ?Hold on miwani ya mama ipo sikioni kweli?View attachment 3050443
Nini usichokiona hapo.Hold on miwani ya mama ipo sikioni kweli?View attachment 3050443
Nimeelewa sasa unataka kusemajeameibana kwenye ushungi ambacho huelewi ni kipi ?
Kapandishe kwanza mishaharaNini usichokiona hapo.
SawaKapandishe kwanza mishahara
Alafu kweli aiseeWote wanaitwa Nana. Kila pisi mjini inaitwa Nana siku hizi.
Au akienda kukusemea unachepuka.Kabisa tena ukioa alafu mkaachana na mtoto wa Rais kwa hizi nchi zetu za Dunia ya tatu mbona Dunia utaiona chungu.
Naomi, Naima, Nataria, Najma, Nasra,... au utasikia Nah, Nuh,Wote wanaitwa Nana. Kila pisi mjini inaitwa Nana siku hizi.
Hata Fred Lowassa ni Mmasai.....Hata huyo siyo Mmasai anaovaa mashuka na kulinda magetini au kusuka rasta kitaani.naskia jamaa NI mmasai wa Arusha
Cute nana mkuuWote wanaitwa Nana. Kila pisi mjini inaitwa Nana siku hizi.