Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nini hiki umeandika mkuu?Kila shetani na mbuyu wake...
Hawa hawa walegevu wanaopigwa na wake zao ndio pa kunasa mkuu?Ukinasa kwetu watu wa Arusha huchomoki, homeboy hajatuangusha.
Nimekubali 🙌🏾
Nini hiki umeandika mkuu?
huyo dogo bwana harusi anaitwa naniUnapanda Ngorika na Abood then ukutane na watoto wa Kishua?
Kwanza hawa probably hukutana abroad kwenye event nzito nzito au kwenye midege mikubwa wakielekea abroad.
Hawakukutana kwenye daldala za simu 2000 au za Mbagala hawa.
Kaoa pazuri,swala la kukutana inawezekana alienda sokoni kununua dagaa wakakutana,kwani mtoto wa raisi hali chakula mkuu......Nmepita pita kwenye mtandao nimekutana na picha za sherehe ya HARUSI ya kuolewa kwa BINTI ya muheshmiwa Rais wa Zanzibar Ndugu Hussein Mwinyi.
Nmepatwa kiu ya kujua huyu mshaikaji aliepata hii Bahati, na naskia jamaa NI mmasai wa Arusha na NI Mkristo sasa sijajua Nani kabadilisha dini hapo, wataalamu wa mambo wazee wa kuchimbua taarifa mbalimbali leteni majibu.
Naskia shehere ilihudhuruiwa na Mawaziri wengi Sana wa bara na visiwani, pamoja na Babamkwe (Raisi wa Zanzibar) baadhi ya wageni alikuwepo mama Samia
Huyo dogo nadhani hata yeye kwao mambo yatakuja sio mabaya atakua wa kishua, hivi wanakutania wapi na hawa watoto wa Marais? Huyu jamaa anabahati sana, naskia sherehe ilihudhuriwa na watu zaidi ya 2500 na wengi viongozi wa serikali.
View attachment 3050187View attachment 3050188View attachment 3050189View attachment 3050190
Hakuna iyo mzee Yani mtoto wa Rais aende gengeni kununua dagaa?Kaoa pazuri,swala la kukutana inawezekana alienda sokoni kununua dagaa wakakutana,kwani mtoto wa raisi hali chakula mkuu......
Sasa kwa Raisi Mwinyi mahari utapeleka bei gani maana hela zipo za babu wa binti na zake pia.
Kuna mahari ya kusema utamridhisha yeye kweli ili anakukabidhi binti yake kweli? Ole wako mtoto alalamike kwa baba yake kuwa unamtesa uone atakavyorudishwa kwao chap chap bila maswali.
Sema nini ukioa kwenye royal family unakuwa umetoka kimaisha tayari, hapo jamaa si muda mrefu analamba teuzi anaanza kutembelea LC300 🤣 yani lazma awekwe kitengo kizuri ili ampatie binti kila atakacho kwenye maisha ili asione tofauti yeyote na nyumbani kwao.
Sasa kwa Raisi Mwinyi mahari utapeleka bei gani maana hela zipo za babu wa binti na zake pia.
Kuna mahari ya kusema utamridhisha yeye kweli ili anakukabidhi binti yake kweli? Ole wako mtoto alalamike kwa baba yake kuwa unamtesa uone atakavyorudishwa kwao chap chap bila maswali.
Sema nini ukioa kwenye royal family unakuwa umetoka kimaisha tayari, hapo jamaa si muda mrefu analamba teuzi anaanza kutembelea LC300 🤣 yani lazma awekwe kitengo kizuri ili ampatie binti kila atakacho kwenye maisha ili asione tofauti yeyote na nyumbani kwao.
Hata mama yake bi harusi umri kidogo umesogea alikuwa binti mdogo enzi hizo anaitwa Baby kabla hajaitwa MariamKweli watoto wamekuwa hawa vijukuu vya mzee Herman
Leo huyu binti kaolewa
Ova
Mkuu hiyo avatar yako ndiyo inatumika kama sticker ya ubaya ubwela hahahaMbona mm ngosha nmeoa mtoto wa mtendaji wa kitongoji
Napeleka mang'ompeh napotaka
Unamuitaje mkristu wakati kesha badili dini? Hata huyu kijana nae atakuwa ameingia kwenye uislamu maana baba mkwe wake hawezi kukubali binti yake aishi maisha ya zinaa ( ndoa ya mwanamke muislamu na asiye muislamu haitambuliki katika uislamu na anahesabika kuwa anazini tu hata kama kaolewa kiserikali au hata kanisani). Tuwaombee tuu ndoa yao ijae upendo, furaha na uvumilivu.Mama nae Mkristo wa jina la Maria na sasa anaitwa Mariam. Moto wa Brigedia mstaafu kutokea Songea. Alikuwa kamishina wa TACAIDS enzi za Hatari Mkapa
Aah kwakua hela sio tatizo😆Nasikia mahari kaambiwa achana nayo tu
Jamaa mtafutaji off course. Japo haya mambo ni siri, unaweza ukaoa huko na mambo yasiwe kama unavyotaka, ukapigwa tuu ndoa ukaachiwa mzigo wako uhangaike nao. Yani ukafungiwa vioo. 😁