Harusi ya kuolewa Binti wa Rais Hussein Mwinyi

Harusi ya kuolewa Binti wa Rais Hussein Mwinyi

Nmepita pita kwenye mtandao nimekutana na picha za sherehe ya HARUSI ya kuolewa kwa BINTI ya muheshmiwa Rais wa Zanzibar Ndugu Hussein Mwinyi.

Nmepatwa kiu ya kujua huyu mshaikaji aliepata hii Bahati, na naskia jamaa NI mmasai wa Arusha na NI Mkristo sasa sijajua Nani kabadilisha dini hapo, wataalamu wa mambo wazee wa kuchimbua taarifa mbalimbali leteni majibu.

Naskia shehere ilihudhuruiwa na Mawaziri wengi Sana wa bara na visiwani, pamoja na Babamkwe (Raisi wa Zanzibar) baadhi ya wageni alikuwepo mama Samia

Huyo dogo nadhani hata yeye kwao mambo yatakuja sio mabaya atakua wa kishua, hivi wanakutania wapi na hawa watoto wa Marais? Huyu jamaa anabahati sana, naskia sherehe ilihudhuriwa na watu zaidi ya 2500 na wengi viongozi wa serikali.

View attachment 3050187View attachment 3050188View attachment 3050189View attachment 3050190
Kaoa pazuri,swala la kukutana inawezekana alienda sokoni kununua dagaa wakakutana,kwani mtoto wa raisi hali chakula mkuu......
 
Sasa kwa Raisi Mwinyi mahari utapeleka bei gani maana hela zipo za babu wa binti na zake pia.

Kuna mahari ya kusema utamridhisha yeye kweli ili anakukabidhi binti yake kweli? Ole wako mtoto alalamike kwa baba yake kuwa unamtesa uone atakavyorudishwa kwao chap chap bila maswali.

Sema nini ukioa kwenye royal family unakuwa umetoka kimaisha tayari, hapo jamaa si muda mrefu analamba teuzi anaanza kutembelea LC300 🤣 yani lazma awekwe kitengo kizuri ili ampatie binti kila atakacho kwenye maisha ili asione tofauti yeyote na nyumbani kwao.

Sasa kwa Raisi Mwinyi mahari utapeleka bei gani maana hela zipo za babu wa binti na zake pia.

Kuna mahari ya kusema utamridhisha yeye kweli ili anakukabidhi binti yake kweli? Ole wako mtoto alalamike kwa baba yake kuwa unamtesa uone atakavyorudishwa kwao chap chap bila maswali.

Sema nini ukioa kwenye royal family unakuwa umetoka kimaisha tayari, hapo jamaa si muda mrefu analamba teuzi anaanza kutembelea LC300 🤣 yani lazma awekwe kitengo kizuri ili ampatie binti kila atakacho kwenye maisha ili asione tofauti yeyote na nyumbani kwao.

Hapo pa kupewa teuzi wanakosea sana.
Inaleta mgongano wa maslahi ya umma .
Kwa jamii yenye uadilifu mkubwa haifai kufanyika hivyo.
 
Mama nae Mkristo wa jina la Maria na sasa anaitwa Mariam. Moto wa Brigedia mstaafu kutokea Songea. Alikuwa kamishina wa TACAIDS enzi za Hatari Mkapa
Unamuitaje mkristu wakati kesha badili dini? Hata huyu kijana nae atakuwa ameingia kwenye uislamu maana baba mkwe wake hawezi kukubali binti yake aishi maisha ya zinaa ( ndoa ya mwanamke muislamu na asiye muislamu haitambuliki katika uislamu na anahesabika kuwa anazini tu hata kama kaolewa kiserikali au hata kanisani). Tuwaombee tuu ndoa yao ijae upendo, furaha na uvumilivu.

Amandla...
 
Jamaa mtafutaji off course. Japo haya mambo ni siri, unaweza ukaoa huko na mambo yasiwe kama unavyotaka, ukapigwa tuu ndoa ukaachiwa mzigo wako uhangaike nao. Yani ukafungiwa vioo. 😁


Au kukawepo na changamoto au mtihani mwingine tu ambao hata hauekezeki.
Ni kuzidi kuomba kwa Mwenyezi Mungu azidi kutupatia mema tu na kutuepusha na mabaya siku zote.
Ndio maana kwenye maisha wala isilingwnishe na mtu mwingine au kutamani maisha ya mtu mwingine maana huijui njia yake anachopitia.
 
Back
Top Bottom