mwakani naolewa
Senior Member
- Jul 25, 2024
- 148
- 426
nimecheka eti mahari achana nayo tuIla watu huku
Nipo vingunguti daslamUko wapi....
Kumbe Una taka mwanamke muislam na mwanaume mkristo mbona zipo kibao tu tembea uoneMajaliwa ni mwanamke?
Amandla...
Mzee Herman alikuwa mnyalu wa iringaMama nae Mkristo wa jina la Maria na sasa anaitwa Mariam. Moto wa Brigedia mstaafu kutokea Songea. Alikuwa kamishina wa TACAIDS enzi za Hatari Mkapa
The general rule (Sura Baqara 2:221) is that neither Muslim men nor Muslim women are allowed to marry βmushriksβ (those who associate partners with God).Kumbe Una taka mwanamke muislam na mwanaume mkristo mbona zipo kibao tu tembea uone
ππTwasubiria yako pale utakapo opolewa na rich and famous guy
Haha...nlijua tu lazma mjumbe atumwe hukuKataa Ndoa.. Ata awe mtoto wa nani we Kataa.
Naijuwa vizuri hiyo familiaHata mama yake bi harusi umri kidogo umesogea alikuwa binti mdogo enzi hizo anaitwa Baby kabla hajaitwa Mariam
Bwana Harusi ni wa Chuga?Ukinasa kwetu watu wa Arusha huchomoki, homeboy hajatuangusha.
Nimekubali ππΎ
Ndio Bro, mcheki vizuri hata sura yake inaonesha.Bwana Harusi ni wa Chuga?
Nilitaka nichangie kitu lakini nashindwa kwa jinsi ninavyo muheshimu na kumhusudu/kumkubali utendaji na busara zake Mh.Hussein Mwinyi.Kataa Ndoa.. Ata awe mtoto wa nani we Kataa.