Jamaa anajua kutumia fursa vizuri...hapo najua atauza nan DVD ya harusiHili wazo la Masanja kuweka kiingilio kwenye harusi yake nimelipenda, Hakika huyu Jamaa ni anawaza Pesa kwa kila kitu... Na habari zilizopo tayari watu 1000 wameshalipia viingilio kwa ajili ya harusi hiyo... Na leo ilikuwa send off ya mke wake mtarajiwa..all the best Masanja na mchumba wako.
hhhaaahhhaa!!wanywaji Mna shidaa!!pole sana aiseee!!niliendaga harusi moja ya kilokole nilijuta,,ikabidi nitoke nje kutafuta konyagi nikamimina kwenye chupa ya sprite
LeoHarusi lini?
Uwiii nimechelewa kumbe
Hii nzuri sana, tumia fursa ya ujinga wa wabongoHili wazo la Masanja kuweka kiingilio kwenye harusi yake nimelipenda, Hakika huyu Jamaa ni anawaza Pesa kwa kila kitu... Na habari zilizopo tayari watu 1000 wameshalipia viingilio kwa ajili ya harusi hiyo... Na leo ilikuwa send off ya mke wake mtarajiwa..all the best Masanja na mchumba wako.
pole tena km IG nenda kwa tzshaderoom kashaweka picha ya maharusiUwiii nimechelewa kumbe
Hebu tuletee tuone[emoji11]pole tena km IG nenda kwa tzshaderoom kashaweka picha ya maharusi
hayaaHebu tuletee tuone[emoji11]
kaifutaaHebu tuletee tuone[emoji11]
Of courseTRA wakachukue kodi yetu hapo.
Okay...kaifutaa
Kesho tarehe 14 binamu
Wenye akili kama zakeWatu nao wataanza kuiga
mshangao uko wapi hapo namsifu kwa hyo business ya akili sanaUnashangaa Nini, Watu Wamechangiana Hadi 400ml