Harusi ya Mtanzania na Mwingereza

Na ambaye hana ndugu mnene awe wa kwanza kunyoosha mkono. Sisi binadamu wakati mwingine tuna mambo ya ajabu sana mtu asipooa mnamuita mhuni, akiooa mnaanza kumsema kuwa kaoa kwa sababu hii na ile ebo sasa mnataka afanye nini?
 
Wembamba wa RELI bwana, utashangaa matani na matani yanapita kila siku na Kireli kipo tu.

Utashangaa ukiona picha ambayo jamaa kambeba mamaa Akiingia naye ndani ya nyumba kwa mara ya kwanza.


Anzia 1:41 na utasikia "Maga Man anapenda wanawake wa aina gani na Kibonge mama anapenda Mwanamume wa aina gani". Ukisikiliza wimbo huo, utajua kuwa jamaa kwa kweli WAME-MECHI.
 
Last edited by a moderator:
Kwa hiyo ni mtindo ka ukaaji?? heehhehe makaratasi na kitabu chekundu damu ya mzee mzima!! heehhheehe
 
"Ukioa mzungu hata kichaa unakuwa wa maana sana"...I can not believe kuwa bado watu wana akili hizi 2010. Wengine wanaona bira awe mbwa Ulaya kuliko kuwa binadamu Tanzania.
 
wedding was held in last sunday...
Lakini jamani huyu mbongo mwenzetu yuko hatarini, pindi hili jimama likija kumlalia linaweza kumtoa roho, na kibaya zaidi ana phd, elimu yake itakuwa imepotea bure

"Ukipenda boga penda na ua lake"
 
bwana harusi ana kg 70 na bi harusi kg280 so what ?
 


well said bros..second that
 
Kiranga unikome na unitue, unanijua???....umenijulia wapi???????
 
Is she 280 kg or 280 lb (pounds)
 
Halafu tusisahau kuwa Mtz halisi anapendelea "Miss Bantu", siyo "English figure". Huyu anadumisha utamaduni hata kama yuko UK. Hongera mshikaji.
 
Wala sioni tatizo la hii ndoa! nice pic and have a wonderful future ahead of you.
 
Kiranga unikome na unitue, unanijua???....umenijulia wapi???????
wewe bwabwa usharudia tabia mbaya eeh??maana hivi vineno ni kama vile umetiwa dole la m.a.t.ako.:A S 112:
 
Aah wapi anafanyiwa shughuli pila kipingamizi. Tena ukimkuta utafikiri mtoto mdogo. Mpaka wafikie hapo ujue jamaa alishafikisha ujumbe kunako. Usiogope mama wifi yako ni mwepesi tu kwa huyu jamaa yako
..Teh! teeeh!! najaribu ku-imagine jamaa anapokuwa chimbo unaweza kukuta bibi harusi anakuwa mdogo na mwepesi kama unyoya maushirikiano ya kufa mtu...Uzito nini bana??!!:tonguez:
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…