Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wedding was held in last sunday...
Lakini jamani huyu mbongo mwenzetu yuko hatarini, pindi hili jimama likija kumlalia linaweza kumtoa roho, na kibaya zaidi ana phd, elimu yake itakuwa imepotea bure
Inasikitisha kuona watu, wengine wanaume wazima (afadhali hata sisters unaweza kusema wanatetea maslahi yao katika kutaka kuolewa) wanamsema vibaya mtu mume mwenzao kwenye ndoa yake kwa specualations na umbea. Kila mtu na maisha yake, haya mambo mengine ni ufinyu wa mawazo tu. Kama wameoana kwa hili, au lile ni mambo yao wawili, uchimvi mwingi unakuwa umbeya tu. Mauritania huko mwanamke asipokuwa mnene hapati mume, wanawake wanashindana unene. Sasa kama mazee ndiyo mapigo yake mnataka kumlazimisha types asizozitaka ?
Mnataka kupangia watu kuoa sasa? Ndiyo maana wengine hatuoi, usipooa mineno, ukioa mineno, basi tabu tupu.
Wanaume wazima mnamsema mwenzenu kaoa mlitaka awaoe nyie? Huyo boflo tunamjua, na nyie wengine je ?
Mimi sijui hii ndoa imepitia mambo gani, wamesaidiana vipi, wamependana vipi mpaka kufikia sakrameti hii takatifu, kwa hiyo naona jambo la kheri tu.Mwacheni mtu katika maisha yake, mimi ninamtakia kheri katika ndoa yake tu. Uungwana hauuzwi dukani.
Type zingine hapa zinaweza hata kupekua garbage kuangalia kama mmekula kizuri au kibaya. Hatari.
Kiranga unikome na unitue, unanijua???....umenijulia wapi???????Inasikitisha kuona watu, wengine wanaume wazima (afadhali hata sisters unaweza kusema wanatetea maslahi yao katika kutaka kuolewa) wanamsema vibaya mtu mume mwenzao kwenye ndoa yake kwa specualations na umbea. Kila mtu na maisha yake, haya mambo mengine ni ufinyu wa mawazo tu. Kama wameoana kwa hili, au lile ni mambo yao wawili, uchimvi mwingi unakuwa umbeya tu. Mauritania huko mwanamke asipokuwa mnene hapati mume, wanawake wanashindana unene. Sasa kama mazee ndiyo mapigo yake mnataka kumlazimisha types asizozitaka ?
Mnataka kupangia watu kuoa sasa? Ndiyo maana wengine hatuoi, usipooa mineno, ukioa mineno, basi tabu tupu.
Wanaume wazima mnamsema mwenzenu kaoa mlitaka awaoe nyie? Huyo boflo tunamjua, na nyie wengine je ?
Mimi sijui hii ndoa imepitia mambo gani, wamesaidiana vipi, wamependana vipi mpaka kufikia sakrameti hii takatifu, kwa hiyo naona jambo la kheri tu.Mwacheni mtu katika maisha yake, mimi ninamtakia kheri katika ndoa yake tu. Uungwana hauuzwi dukani.
Type zingine hapa zinaweza hata kupekua garbage kuangalia kama mmekula kizuri au kibaya. Hatari.
aluuuuuuuu! hizo kilo za mama mbona balaa! ila kama naona yuko kawaida tu, sijui ni macho yangu
Tulia wewe ujumbe ukuingie..ala.. si umeyataka mwenyewe. Pua weee.Kiranga unikome na unitue, unanijua???....umenijulia wapi???????
Hongera Maarusi.. ingekuwa poa kama mngetupa majina yao... Inaonyesha bibi harusi ni mjamzito??? natabiri..
wewe bwabwa usharudia tabia mbaya eeh??maana hivi vineno ni kama vile umetiwa dole la m.a.t.ako.:A S 112:Kiranga unikome na unitue, unanijua???....umenijulia wapi???????
..Teh! teeeh!! najaribu ku-imagine jamaa anapokuwa chimbo unaweza kukuta bibi harusi anakuwa mdogo na mwepesi kama unyoya maushirikiano ya kufa mtu...Uzito nini bana??!!:tonguez:Aah wapi anafanyiwa shughuli pila kipingamizi. Tena ukimkuta utafikiri mtoto mdogo. Mpaka wafikie hapo ujue jamaa alishafikisha ujumbe kunako. Usiogope mama wifi yako ni mwepesi tu kwa huyu jamaa yako