JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,780
- 6,607
Kapo pendwa kunako Bongo Fleva, Billnass au Nenga na Nandy ‘The African Princess’ wanatarajia kufunga ndoa Juni 25, mwaka huu.
Hiyo ni kwa mujibu wa Baba wa Nandy, Charles Mfinanga alipokuwa akizungumza mara baada ya hapo jana Billnass kumvisha Nandy pete ya uchumba.
Utakumbuka hiyo ni mara ya pili kwa wawili hao kufanya hivyo, mara ya kwanza ilikuwa Aprili, 2020.
Hadi sasa katika muziki Nandy na Billnass wamefanikiwa kutoa nyimbo tatu pamoja, Bugana, Do Me na Party.
Hiyo ni kwa mujibu wa Baba wa Nandy, Charles Mfinanga alipokuwa akizungumza mara baada ya hapo jana Billnass kumvisha Nandy pete ya uchumba.
Utakumbuka hiyo ni mara ya pili kwa wawili hao kufanya hivyo, mara ya kwanza ilikuwa Aprili, 2020.
Hadi sasa katika muziki Nandy na Billnass wamefanikiwa kutoa nyimbo tatu pamoja, Bugana, Do Me na Party.