Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23]Wale team wataachana tu naomba tukutane backstage kwa majadiliano.[emoji2][emoji2]
Asante kwa kunikumbusha jina la hiyo ngoma.Waliimba wote, "Do Me"[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nampenda Sana Nandy, nadhani ndo mwanamke mzuri kuliko wote Tanzania kwa mtazamo wangu.Hongere kijana Billnass
Naipenda hii kapo mnoo!nawaombea sanaWaliimba wote, "Do Me"[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Cheka Kwa sauti usije kupasua hicho kifua babaHahaha...ngoja nicheke ndani kwa ndani
Sio goti, amepiga magoti mawili.Nakazia [emoji23] Alimvisha pete kwa kupiga goti
Binti si mzima huyo kaunguakuna ngoma moja ya huyo kijana kama kumbukumbu ziko sawa aliimba"hawezi mwacha huyo binti hata kama anachangamoto ya kiafya.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Asante kwa kunikumbusha jina la hiyo ngoma.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mie hapana kwa kweli,Naipenda hii kapo mnoo!nawaombea sana
Itakuwa walikuwa wananyanduana onlineSI wanasema jasiri muongoza njia alishaungua kitambo Sasa nandy hajaungua au zana zilihusika mda wote?