Mtili wandu
JF-Expert Member
- Dec 15, 2012
- 8,257
- 11,499
Ngoja niweke kwenye diary mkuu,mmmh km bei ngapi vile? Ili tumkumbushe jaji.😃😃😃 kawaida tu. Wakidumu miaka 5 njoo nidai hela
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngoja niweke kwenye diary mkuu,mmmh km bei ngapi vile? Ili tumkumbushe jaji.😃😃😃 kawaida tu. Wakidumu miaka 5 njoo nidai hela
200,000 screenshot msg yangu kabisaaaaNgoja niweke kwenye diary mkuu,mmmh km bei ngapi vile? Ili tumkumbushe jaji.
Watakuwa wanatumia hiiMnatumia vigezo gani kumpima mtu kuwa ni muathirika?
Mkuu kweli??Nampenda Sana Nandy, nadhani ndo mwanamke mzuri kuliko wote Tanzania kwa mtazamo wangu.Hongere kijana Billnass
Kufa kufaana, January Makamba alishapekeleka posa kwa niaba Ruge.Boss Ruge angekua hai hili lingetoke. Hongera zao nyingi
Nandi alisema harusi ilitakiwa kuwa April na Ruge alikufa January kama sijakosea.Kufa kufaana, January Makamba alishapekeleka posa kwa niaba Ruge.
(Hii ni kwa mujibu wa January mwenyewe).
Yeah, acha dogo Nenga aserereke na Kitonga.Nandi alisema harusi ilitakiwa kuwa April na Ruge alikufa January kama sijakosea.
Halafu Nandy anakwambia kwambia penzi lao lina miaka sita, ila wanawake Mungu anawaona ujue, kwenye hela huwa hamuangaliagi true love.Nandi alisema harusi ilitakiwa kuwa April na Ruge alikufa January kama sijakosea.
😂😂😂😂Halafu Nandy anakwambia kwambia penzi lao lina miaka sita, ila wanawake Mungu anawaona ujue, kwenye hela huwa hamuangaliagi true love.
Nenga kinyonge akakubali kuwa kidumu daaaaah
Demi hiyo robo ya ada ya yule kid wa nurse ujue. Bado 1 tuu najikawamua na robo ya kwanza. Chini ya PGO no#7 unajua km umehaidi mbele ya kadamnasi mama.200,000 screenshot msg yangu kabisaaaa
Ni kwl..Ila inataka moyo wa chuma kuamini kwamba alitembea na jamaa kavu kavu na yeye hakupata maambukizi.
Kama kuna kipindi condom ipo chumbani lakini unaona ipo mbali,Kama bil nas hajakwends nae kupima itskuwa amekosea.
Ila naamini bill nas ni mtu mzima na akili zake lazma atakuwa amefanya hayo maamuzi.hawezi kukurupuka tu wakati ameshasikia tetesi
Kama kuna kipindi condom ipo chumbani lakini unaona ipo mbali,
Itakuwa kwenda kupima mkuu?
Hakuna kupima hapo,,ni kuishi kwa matumaini Tu.
Sent from my M2101K7BG using JamiiForums mobile app
February bibi.Nandi alisema harusi ilitakiwa kuwa April na Ruge alikufa January kama sijakosea.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kama kuna kipindi condom ipo chumbani lakini unaona ipo mbali,
Itakuwa kwenda kupima mkuu?
Hakuna kupima hapo,,ni kuishi kwa matumaini Tu.
Sent from my M2101K7BG using JamiiForums mobile app
Kwakuwa unampenda lazma awe mwanamke mzuri kuliko wote ila trust me kuna pisi kuliko nandyNampenda Sana Nandy, nadhani ndo mwanamke mzuri kuliko wote Tanzania kwa mtazamo wangu.Hongere kijana Billnass
Kwangu Mimi Sasa,kwa taarifa yako Nandy ni zaidi ya Yeyote,hata huyo Cleopatra hamfikii Nandy.Yaani Nandy dah basi tu,sitakagi hata kumuwaza maana naumia Sana. Ni mwanamke wa moyo wangu.Kwakuwa unampenda lazma awe mwanamke mzuri kuliko wote ila trust me kuna pisi kuliko nandy