Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Basi Chain itakuwa Ni kubwa mno,hadi yule wa mabango kuona kasitirika sna Mzee wa Subaru mabwePande
Ni mwendo wa kuungwa REA tyuuh kwa 27k [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]SI wanasema jasiri muongoza njia alishaungua kitambo Sasa nandy hajaungua au zana zilihusika mda wote?
Huyu mchaga amepania kuchukua Mali za nandy, inabidi waandikishane kabisa kwamba hizo Mali hazitahusika na Bili NanasiKapo pendwa kunako Bongo Fleva, Billnass au Nenga na Nandy ‘The African Princess’ wanatarajia kufunga ndoa Juni 25, mwaka huu.
Hiyo ni kwa mujibu wa Baba wa Nandy, Charles Mfinanga alipokuwa akizungumza mara baada ya hapo jana Billnass kumvisha Nandy pete ya uchumba.
Utakumbuka hiyo ni mara ya pili kwa wawili hao kufanya hivyo, mara ya kwanza ilikuwa Aprili, 2020.
Hadi sasa katika muziki Nandy na Billnass wamefanikiwa kutoa nyimbo tatu pamoja, Bugana, Do Me na Party.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mie hapana kwa kweli,
Dah hii comment I like itkuna ngoma moja ya huyo kijana kama kumbukumbu ziko sawa aliimba"hawezi mwacha huyo binti hata kama anachangamoto ya kiafya.
Huyo hajawai kumwona akiwa live bila mafilter[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] make ups, photoshoot, na filters? Au nn?
Weeee weeee ni nini uliona....? Lile li pichu lilikuchanganya?Nampenda Sana Nandy, nadhani ndo mwanamke mzuri kuliko wote Tanzania kwa mtazamo wangu.Hongere kijana Billnass
Umeme wa viwandani 3phAseNi mwendo wa kuungwa REA tyuuh kwa 27k [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mkuu hebu dadavua...ilikuaje kwa Mh Mnyeti?Mnyeti analia sasa hivi
Anapimwa kwa mapambano aliyopigana,,Mnatumia vigezo gani kumpima mtu kuwa ni muathirika?
Anapimwa kwa mapambano aliyopigana,,
Tena kavu kavu
Ni kwl..Ila inataka moyo wa chuma kuamini kwamba alitembea na jamaa kavu kavu na yeye hakupata maambukizi.Umeme haupo hivyo.
Unaweza ukatembea na wenye ukimwi na usipate.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hapana jomoneeeeh rafiki, uwiiiiiih[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wewe sijakuzoea hivi, umepata rafiki mpya anakifundisha roho mbaya ee..?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] poleeeh yake uwiiiih.Huyo hajawai kumwona akiwa live bila mafilter
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaahUmeme wa viwandani 3phAse
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu hebu dadavua...ilikuaje kwa Mh Mnyeti?
Team roho mbaya siyo teh tehWataachana tu
😃😃😃 kawaida tu. Wakidumu miaka 5 njoo nidai helaTeam roho mbaya siyo teh teh