Tetesi: Harusi ya Ruge na Zamaradi iko tayari, imepewa jina la Harusi ya Watu

Mmmh labda Mchungaji aruke kile kipengele cha pingamizi maana mtaani kuna wahanga wengi wa harusi hii! Ambulence ziwe standby
Haahahha ndo nlichokuwa nasubiria kukisoma hapa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tena ambulance ziwe mlangoni kabisa
 
Tutafurahi pia wakituwekea Vyeti vyao vya kupima VVU / UKIMWI kwani wakitufanyia hilo watakuwa wametusaidia sana tutakaozamia katika hiyo Harusi yao.
Nlisikiaga mke wa boss ruge mtarajiwa Anaishi kwa matumaini.ila sijapataga ukweli jalisi
 
Harusi ya mbwembwe nyiiiiingi na mshazalishana watoto wa 2
 
Ruge ni mhaya na hizi ndio tabia zao majigambo matupu.


Kuna mwingine huko mjengoni alisema milioni 7 ni hela ya mboga..

Hata hivyo wapo sana mwananyamala
 
unga unawaboost
 
[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…