Tetesi: Harusi ya Ruge na Zamaradi iko tayari, imepewa jina la Harusi ya Watu

Tetesi: Harusi ya Ruge na Zamaradi iko tayari, imepewa jina la Harusi ya Watu

Dah! Kuna mtu ameniudhi hapa tulikuwa tumekaa kimya kama mabubu hapa huku kila mtu akitumia simu yake, sasa nilipopitia huu uzi nimejikuta nacheka kwa sauti hasa hapo kwenye harusi zilizoahirishwa dakika za majeruhi, na hatimaye tumejikuta tumepatana na tunaongea. Ahsante sana MSAGA SUMU.
haa haa asante msaga sumu kwa kupatanisha hawa watu wawili..
 
Mkurugenzi na mtangazaji kutoka redio ya watu wako tayari kabisa kufunga harusi siku yoyote kuanzia wiki ijayo. Harusi hiyo iliyopewa jina la harusi ya watu inatarajiwa kuwa kubwa Tanzania kuliko harusi yoyote ile tokea tupate uhuru.

Mmoja wa wanakamati wa harusi hiyo amedai harusi hiyo itafanyika katika sehemu nne tofauti kwa wakati mmoja,alizitaja sehemu hizo kuwa ni Bukoba, Tanga, Mjengoni Mikocheni na Ukumbini.

Wageni kutoka sehemu tatu wataunganishwa moja kwa moja na wale wa ukumbini kupitia sophisticated technology inayoitwa virtual reality (VR). Mwanakamati huyo alidai wageni hao watavaa VR gears na hivyo kuungana moja kwa moja na wageni wengine kutoka Dar na hivyo kuweza kufanya vitu kadhaa kama vile wako ukumbini.Baadhi ya vitu hivyo ni kama kutoa zawadi ,kushikana mikono na maharusi, kucheza mziki na vitu vingine kadhaa.

Ukubwa wa harusi hiyo unafananishwa na harusi mbili zilizoahirishwa dakika za mwisho, moja ikiwa ya mnyange Sepetu na Simba au ile ya Baharia aliyowachangisha waarabu wanaomiliki sheli na super moguls kadhaa kabla ya kuamua kuendelea kuwa single maana umri ulikuwa bado unaruhusu.

Tunawatakia kila la heri katika maisha yao ya ndoa.

Tutafurahi pia wakituwekea Vyeti vyao vya kupima VVU / UKIMWI kwani wakitufanyia hilo watakuwa wametusaidia sana tutakaozamia katika hiyo Harusi yao.
 
Duh hadi sasa bado page ya piki, itabidi wamuite Simba aka Chibu aka mume wa Zari atumbuize ili iwe harusi ya watu.
 
Ya kwetu lini?

Halafu tuipe jina gani?

Harusi ya JF au Harusi ya USA baby?

Tuwaalike nani na nani? Tuifanyie wapi? Mhunze au South Beach, Miami?

😀
Teh Teh napendekeza ipewe jina la USA baby..
 
ikiwa harusi classic kama ya Nancy sumari hapo ntawakubali
 
Ya kwetu lini?

Halafu tuipe jina gani?

Harusi ya JF au Harusi ya USA baby?

Tuwaalike nani na nani? Tuifanyie wapi? Mhunze au South Beach, Miami?

😀

Ya kwetu tuifanyie Uwanja wa taifa ,Muhunze hapawezi kutosha
Tuiite USA baby
Au unaonaje
 
Mkurugenzi na mtangazaji kutoka redio ya watu wako tayari kabisa kufunga harusi siku yoyote kuanzia wiki ijayo. Harusi hiyo iliyopewa jina la harusi ya watu inatarajiwa kuwa kubwa Tanzania kuliko harusi yoyote ile tokea tupate uhuru.

Mmoja wa wanakamati wa harusi hiyo amedai harusi hiyo itafanyika katika sehemu nne tofauti kwa wakati mmoja,alizitaja sehemu hizo kuwa ni Bukoba, Tanga, Mjengoni Mikocheni na Ukumbini.

Wageni kutoka sehemu tatu wataunganishwa moja kwa moja na wale wa ukumbini kupitia sophisticated technology inayoitwa virtual reality (VR). Mwanakamati huyo alidai wageni hao watavaa VR gears na hivyo kuungana moja kwa moja na wageni wengine kutoka Dar na hivyo kuweza kufanya vitu kadhaa kama vile wako ukumbini.Baadhi ya vitu hivyo ni kama kutoa zawadi ,kushikana mikono na maharusi, kucheza mziki na vitu vingine kadhaa.

Ukubwa wa harusi hiyo unafananishwa na harusi mbili zilizoahirishwa dakika za mwisho, moja ikiwa ya mnyange Sepetu na Simba au ile ya Baharia aliyowachangisha waarabu wanaomiliki sheli na super moguls kadhaa kabla ya kuamua kuendelea kuwa single maana umri ulikuwa bado unaruhusu.

Tunawatakia kila la heri katika maisha yao ya ndoa.
Ni poa sana tusubiri mambo mazuri
 
mhh hiyo harus itakuwa ya kawaida sana kwan md kapitia vipara sana mjengon
 
Back
Top Bottom