Harusi za uswahilini na make up zao

Harusi za uswahilini na make up zao

Sister Abigail

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2020
Posts
2,886
Reaction score
9,088
Mnakamia sana make up hadi mnageuka kituko. Mnasiliba mno hadi inakuwa kituko.

[emoji38][emoji38][emoji38]

Shogangu sawa humudu make up ya kisasa, si utafute tu hata poda ya kuendana na ngozi yako palaza kiasi,paka lip balm na wanja kiasi basi

Ama make up unayo unamudu il a huna ujuzi wa kumechisha hata foundation, powder, na vingine na rangi yako tafuta mjuzi

Mtu mweusii unaenda tu unaokota foundation ya rangi ya mweupe kwanini isiwe kituko.

Screenshot_20230520-104037_1695028255574.jpg
 
Haswa hizi za dini ya mtume
Mnakamia sana make up hadi mnageuka kituko..
Mnasiliba mno hadi inakuwa kituko
[emoji38][emoji38][emoji38]
Shogangu sawa humudu make up ya kisasa,si utafute tu hata poda ya kuendana na ngozi yako palaza kiasi,paka lip balm na wanja kiasi basi
Ama make up unayo unamudu il a huna ujuzi wa kumechisha hata foundation, powder, na vingine na rangi yako tafuta mjuzi
Mtu mweusii unaenda tu unaokota foundation ya rangi ya mweupe kwanini isiwe kituko.

View attachment 2753330View attachment 2753332

Sent using Jamii Forums mobile app
😂😂😂😂 et hasa hii dini ya mnyazi😂😂😂😂
 
Haswa hizi za dini ya mtume
Mnakamia sana make up hadi mnageuka kituko..
Mnasiliba mno hadi inakuwa kituko
[emoji38][emoji38][emoji38]

Shogangu sawa humudu make up ya kisasa,si utafute tu hata poda ya kuendana na ngozi yako palaza kiasi,paka lip balm na wanja kiasi basi

Ama make up unayo unamudu il a huna ujuzi wa kumechisha hata foundation, powder, na vingine na rangi yako tafuta mjuzi

Mtu mweusii unaenda tu unaokota foundation ya rangi ya mweupe kwanini isiwe kituko.

View attachment 2753330
Macho kama kinyonga hakika ni hatari kuna muda make up zinawaharibu mpaka mnaanza kufanana na mizuka.
 
Haswa hizi za dini ya mtume
Mnakamia sana make up hadi mnageuka kituko..
Mnasiliba mno hadi inakuwa kituko
[emoji38][emoji38][emoji38]

Shogangu sawa humudu make up ya kisasa,si utafute tu hata poda ya kuendana na ngozi yako palaza kiasi,paka lip balm na wanja kiasi basi

Ama make up unayo unamudu il a huna ujuzi wa kumechisha hata foundation, powder, na vingine na rangi yako tafuta mjuzi

Mtu mweusii unaenda tu unaokota foundation ya rangi ya mweupe kwanini isiwe kituko.

View attachment 2753330
Hivyo vituko, ndo Raha ya uswahilini sasaa.
 
Back
Top Bottom