Sister Abigail
JF-Expert Member
- Sep 2, 2020
- 2,886
- 9,088
Mnakamia sana make up hadi mnageuka kituko. Mnasiliba mno hadi inakuwa kituko.
[emoji38][emoji38][emoji38]
Shogangu sawa humudu make up ya kisasa, si utafute tu hata poda ya kuendana na ngozi yako palaza kiasi,paka lip balm na wanja kiasi basi
Ama make up unayo unamudu il a huna ujuzi wa kumechisha hata foundation, powder, na vingine na rangi yako tafuta mjuzi
Mtu mweusii unaenda tu unaokota foundation ya rangi ya mweupe kwanini isiwe kituko.
[emoji38][emoji38][emoji38]
Shogangu sawa humudu make up ya kisasa, si utafute tu hata poda ya kuendana na ngozi yako palaza kiasi,paka lip balm na wanja kiasi basi
Ama make up unayo unamudu il a huna ujuzi wa kumechisha hata foundation, powder, na vingine na rangi yako tafuta mjuzi
Mtu mweusii unaenda tu unaokota foundation ya rangi ya mweupe kwanini isiwe kituko.