Sister Abigail
JF-Expert Member
- Sep 2, 2020
- 2,886
- 9,088
😂😂😂😂 et hasa hii dini ya mnyazi😂😂😂😂Haswa hizi za dini ya mtume
Mnakamia sana make up hadi mnageuka kituko..
Mnasiliba mno hadi inakuwa kituko
[emoji38][emoji38][emoji38]
Shogangu sawa humudu make up ya kisasa,si utafute tu hata poda ya kuendana na ngozi yako palaza kiasi,paka lip balm na wanja kiasi basi
Ama make up unayo unamudu il a huna ujuzi wa kumechisha hata foundation, powder, na vingine na rangi yako tafuta mjuzi
Mtu mweusii unaenda tu unaokota foundation ya rangi ya mweupe kwanini isiwe kituko.
View attachment 2753330View attachment 2753332
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimsema tu kama mfano.usintafutie matatizo wakija hapa[emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] et hasa hii dini ya mnyazi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Macho kama kinyonga hakika ni hatari kuna muda make up zinawaharibu mpaka mnaanza kufanana na mizuka.Haswa hizi za dini ya mtume
Mnakamia sana make up hadi mnageuka kituko..
Mnasiliba mno hadi inakuwa kituko
[emoji38][emoji38][emoji38]
Shogangu sawa humudu make up ya kisasa,si utafute tu hata poda ya kuendana na ngozi yako palaza kiasi,paka lip balm na wanja kiasi basi
Ama make up unayo unamudu il a huna ujuzi wa kumechisha hata foundation, powder, na vingine na rangi yako tafuta mjuzi
Mtu mweusii unaenda tu unaokota foundation ya rangi ya mweupe kwanini isiwe kituko.
View attachment 2753330
Hivyo vituko, ndo Raha ya uswahilini sasaa.Haswa hizi za dini ya mtume
Mnakamia sana make up hadi mnageuka kituko..
Mnasiliba mno hadi inakuwa kituko
[emoji38][emoji38][emoji38]
Shogangu sawa humudu make up ya kisasa,si utafute tu hata poda ya kuendana na ngozi yako palaza kiasi,paka lip balm na wanja kiasi basi
Ama make up unayo unamudu il a huna ujuzi wa kumechisha hata foundation, powder, na vingine na rangi yako tafuta mjuzi
Mtu mweusii unaenda tu unaokota foundation ya rangi ya mweupe kwanini isiwe kituko.
View attachment 2753330
Ndo inakuwaga hivo..yake halisiHuo mkono kavaa glove nyeusi au ndio rangi yake?
[emoji38][emoji38][emoji38]Jipodoe Abby utajieleza ukiulizwa.
[emoji38][emoji38][emoji38]Hongera kwa kuolewa na asante kwa taarifa.
Kama bwana kakupenda ulivyo hayo yote ya nini siku ya harusi?[emoji1787][emoji1787][emoji1787]ukiona hivyo ujue sura mbovu
Wanaibadil kwa muda