Hasara 10 na faida 5 za kuchepuka katika ndoa

Hasara 10 na faida 5 za kuchepuka katika ndoa

sio kwamba nafagilia kuchepuka....la hasha......Je umewahi kujiuliza wapi umevuruga?...au anafuata nini huko ambacho hapati kwangu?..au mimi sio mrembo tena?? au nina kauli za kumbughuzi na kumkatisha tamaa.....??? au labda ni HAYAWANI/KAHABA....je hukuyajua hayo before......??? mwanaume ndie anapaswa kumpenda mwanamke/mkewe......mwanamke anapaswa kumheshimu mwanaume/mmewe....
Kuna wanaume hata ufanye hayo yote watachepuka tu
Mnachoshindwa kujiongeza ni kuwa hata mwanamke ni binadamu na ana udhaifu wake pia
Asa nyie mnataka mtu awe safi bila kasoro yoyote
Nadhani wa hivo atakua tu mama yako mzazi ndo ambae atalolisema kwako ni sheria
 
Kuna wanaume hata ufanye hayo yote watachepuka tu
Mnachoshindwa kujiongeza ni kuwa hata mwanamke ni binadamu na ana udhaifu wake pia
Asa nyie mnataka mtu awe safi bila kasoro yoyote
Nadhani wa hivo atakua tu mama yako mzazi ndo ambae atalolisema kwako ni sheria
Eti yeye anajijua ni shetani lakini anataka kuoa malaika, kakwambia nani shetani atamuoa shetani, na malaika vile, unajiuliza unataka mke mwenye tabia nzuri wewe unazo? yaani mie hubaki hoi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
10 - 5 = 5
Hasara tano za kuchepuka, na nadhani kuna nyingi zaidi ya hapo.
 
Kuna wanaume hata ufanye hayo yote watachepuka tu
Mnachoshindwa kujiongeza ni kuwa hata mwanamke ni binadamu na ana udhaifu wake pia
Asa nyie mnataka mtu awe safi bila kasoro yoyote
Nadhani wa hivo atakua tu mama yako mzazi ndo ambae atalolisema kwako ni sheria

sio wote asilani...kasoro nyingi mlizonazo ni za kubuni au kutengeneza...sio za UHALISIA my dada......(au labda ni HAYAWANI/KAHABA....je hukuyajua hayo before......??? mwanaume ndie anapaswa kumpenda mwanamke/mkewe......mwanamke anapaswa kumheshimu mwanaume/mmewe....)
 
kuna hasara moja ya kuchepuka umeisahau...........NYETO BABA......,,but am not sure kama ni hasara.....ngoja WAHENGA waje waseme....
 
11.kupoteza familia ikitokea umefumaniwa

12. kama ukikamatwa na mkeo na akakusamehe atapoteza uaminifu kwako ambao uliujenga kwa muda mrefu.

13. ukikamatwa akakusamehe atakua kosa lako kama fimbo kukuudhibu kwenye baadhi ya mambo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kuna hasara moja ya kuchepuka umeisahau...........NYETO BABA......,,but am not sure kama ni hasara.....ngoja WAHENGA waje waseme....
Nyeto ni mbadala wa kuchepuka, unajichepusha mwenyewe
 
Back
Top Bottom