Hasara 4 za Kuabudu kwenye TV badala ya kuhudhuria pamoja na wenzako

Hasara 4 za Kuabudu kwenye TV badala ya kuhudhuria pamoja na wenzako

mitale na midimu

JF-Expert Member
Joined
Aug 26, 2015
Posts
10,420
Reaction score
17,735
  1. Unakosoa agizo la Mungu. Msiache kukusanyika pamoja kama ilivyodesturi ya watakatifu. Unakosa Baraka maana kukaa peke yako wakati huna sababu ni laana.
  2. Rahisi kutekwa na Televangelists wengi ambao ni wajasiliainjili. Kuna watu wameteka mitego kunasa watu wasiojitambua mitandaoni kwa mgonjobwa injili. Utajiweka hatarini maana sio chochote unachokiona ni halisi. Mfano Nabii kijana tajiri wa SA aliwahi kudanganya malaika wameshuka. Kumbe ile video ilikuwa edited na green screen effects za mifano ya malaika.
  3. Unaanzisha utaratibu mpya ambao Yesu hakuwa nao. Hivyo humfanyi Yesu kuwa kielelezo chako. Yesu alipokuwa duniani kanisa lilikuwa chafu na asi kiliko sasa. Ila hakuacha kwenda kwenye sinagogi au hekaluni kila sabato kama lilivyo agizo.
  4. Utakuwa umepiga hatua ya tatu ama ya pili kuelekea kwenye kuasi. Hatua ya kwanza ya uasi wa kiibada ya mwanadamu ilikuwa ni Kugeuza siku maalumu ya kukutana ibadani Jumamosi ikamishiwa Jumapili na Ijumaa. Kuacha kukutana na wenzako ni hatua advanced ya uasi ukiacha tu kwamba hatua ya kukutana kinyume na agizo ni uasi.
Kumbuka, ni rahisi sana kuacha kusali lakini inagharama kubwa kurudi kusali.

Note:
Uzi huu hauwahusu wale ambao wako katika mazingira magumu ya kiibada. Ni wagonjwa, hakuna MTU au kanisa wa kukutana nae.
 
  1. Unakosoa agizo la Mungu. Msiache kukusanyika pamoja kama ilivyodesturi ya watakatifu. Unakosa Baraka maana kukaa peke yako wakati huna sababu ni laana.
  2. Rahisi kutekwa na Televangelists wengi ambao ni wajasiliainjili. Kuna watu wameteka mitego kunasa watu wasiojitambua mitandaoni kwa mgonjobwa injili. Utajiweka hatarini maana sio chochote unachokiona ni halisi. Mfano Nabii kijana tajiri wa SA aliwahi kudanganya malaika wameshuka. Kumbe ile video ilikuwa edited na green screen effects za mifano ya malaika.
  3. Unaanzisha utaratibu mpya ambao Yesu hakuwa nao. Hivyo humfanyi Yesu kuwa kielelezo chako. Yesu alipokuwa duniani kanisa lilikuwa chafu na asi kiliko sasa. Ila hakuacha kwenda kwenye sinagogi au hekaluni kila sabato kama lilivyo agizo.
  4. Utakuwa umepiga hatua ya tatu ama ya pili kuelekea kwenye kuasi. Hatua ya kwanza ya uasi wa kiibada ya mwanadamu ilikuwa ni Kugeuza siku maalumu ya kukutana ibadani Jumamosi ikamishiwa Jumapili na Ijumaa. Kuacha kukutana na wenzako ni hatua advanced ya uasi ukiacha tu kwamba hatua ya kukutana kinyume na agizo ni uasi.
Kumbuka, ni rahisi sana kuacha kusali lakini inagharama kubwa kurudi kusali.

Note:
Uzi huu hauwahusu wale ambao wako katika mazingira magumu ya kiibada. Ni wagonjwa, hakuna MTU au kanisa wa kukutana nae.
Kwanza kabisa, thibitisha Mungu yupo.
 
  1. Unakosoa agizo la Mungu. Msiache kukusanyika pamoja kama ilivyodesturi ya watakatifu. Unakosa Baraka maana kukaa peke yako wakati huna sababu ni laana.
  2. Rahisi kutekwa na Televangelists wengi ambao ni wajasiliainjili. Kuna watu wameteka mitego kunasa watu wasiojitambua mitandaoni kwa mgonjobwa injili. Utajiweka hatarini maana sio chochote unachokiona ni halisi. Mfano Nabii kijana tajiri wa SA aliwahi kudanganya malaika wameshuka. Kumbe ile video ilikuwa edited na green screen effects za mifano ya malaika.
  3. Unaanzisha utaratibu mpya ambao Yesu hakuwa nao. Hivyo humfanyi Yesu kuwa kielelezo chako. Yesu alipokuwa duniani kanisa lilikuwa chafu na asi kiliko sasa. Ila hakuacha kwenda kwenye sinagogi au hekaluni kila sabato kama lilivyo agizo.
  4. Utakuwa umepiga hatua ya tatu ama ya pili kuelekea kwenye kuasi. Hatua ya kwanza ya uasi wa kiibada ya mwanadamu ilikuwa ni Kugeuza siku maalumu ya kukutana ibadani Jumamosi ikamishiwa Jumapili na Ijumaa. Kuacha kukutana na wenzako ni hatua advanced ya uasi ukiacha tu kwamba hatua ya kukutana kinyume na agizo ni uasi.
Kumbuka, ni rahisi sana kuacha kusali lakini inagharama kubwa kurudi kusali.

Note:
Uzi huu hauwahusu wale ambao wako katika mazingira magumu ya kiibada. Ni wagonjwa, hakuna MTU au kanisa wa kukutana nae.
SWADAKA ZIMEPUNGUA HUKO...SIYO ??

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
Sishauri watu kutumia TV kufanya ibada,ila bado ni vizuri sana kuitumia kwa kujifunza neno kama uko mbali na kanisa...
 
Kwanza kabisa, thibitisha Mungu yupo.
Safi sana, swali nzuri sana hili. Tena huwa halikwepeki, ikifika ni kwenye masuala ya dini. Huwa nashangazwa sana na hizi imani za hao 'Televangelists'. Unakuta mtu ana live service kila siku ya wiki, humo ndani wao wanasema kwenye 'madhabahu', kumejaa hadi pomoni. Kutoka chee hadi machweo ni kukemea tu mapepo na 'nguvu za giza'.
 
Kuabudu kwenye tv ni maalumu kwa watu ambao wamejikuta hawana mazingira ya kuabudu, mfano waliosafarini, walio makazini mfano mabaharia, waliojela, walio kwenye nchi zisizo ruhusu dini,walio maporini kikazi, waliolazwa hospital nk.
 
Back
Top Bottom