Hasara 4 za Kuabudu kwenye TV badala ya kuhudhuria pamoja na wenzako

Thibitisha Mungu yupo kwa njia yoyote unayoijua wewe.
Kama nyumba za ibada zipo na watu mamilioni wanamuabudu na kuthibitisha uwepo wake wewe ni nani.
Mungu ni roho, mambo ya kiroho uthibitishwa kiroho, na sio kisayansi.
 
Kama nyumba za ibada zipo na watu mamilioni wanamuabudu na kuthibitisha uwepo wake wewe ni nani.
Mungu ni roho, mambo ya kiroho uthibitishwa kiroho, na sio kisayansi.
Nyumba za ibada kuwepo na watu mamilioni kumuabudu hakuthibitishi Mungu yupo.

Kwa sababu, hata hao mamilioni hawamuabudu Mungu mmoja.

Thibitisha Mungu yupo.
 
Nyumba za ibada kuwepo na watu mamilioni kumuabudu hakuthibitishi Mungu yupo.

Kwa sababu, hata hao mamilioni hawamuabudu Mungu mmoja.

Thibitisha Mungu yupo.
Mungu yupo kwasababu hakuna mwenye Kujua chanzo cha Uhai zaidi yake..
 
Kwanza sadaka inapaswa ifike rasmi madhabauhuni na kuombewa pale sio itumwe kwa njia ya MPESA, TIGOPESA au kwa Account namba za Benki.

Wajinga ndio waliwao.
 
Unakosoa agizo la Mungu. Msiache kukusanyika pamoja kama ilivyodesturi ya watakatifu.

Kuna watakatifu makanisa ya leo!? Fanya jaribio dondosha noti kanisani sehemu tofauti tofauti uone kama itatangazwa kuwa aliyepoteza fedha ajitokeze🤣🤣
 

Ibada zenu ziwe inclussive, msibague wenye nacho na wasiokuwa nacho, hii ndiyo sababu kuu watu wameanza kushitukia makanisa ya sasa
 
Sababu za kuporomoka mahudhurio ya waumini kwenye nyumba za ibada yamesababishwa - yametokana na nini?

Je, mdondoko huo unaashiria nini?
 
Mungu yupo kwasababu hakuna mwenye Kujua chanzo cha Uhai zaidi yake..

Hapa umechanganya logical non sequitur na circular reasoning.

Kutojua chanzo chabuhai ni kutojua chanzo cha uhai. Kutojua chanzo cha uhai si ushahidi kwamba Mungu yupo.

Thibitisha Mungu yupo.
 
Tatizo binadamu wa siku hizi ni wabishi sana...
 
Kwanza sadaka inapaswa ifike rasmi madhabauhuni na kuombewa pale sio itumwe kwa njia ya MPESA, TIGOPESA au kwa Account namba za Benki.

Wajinga ndio waliwao.
Kuna dhehebu/kanisa ambalo SADAKA hazitumwi kwa hizo huduma za PESA?
 
Kuna dhehebu/kanisa ambalo SADAKA hazitumwi kwa hizo huduma za PESA?
Wanatuma dhabihu, malimbuko na michango mbalimbali labda ya jengo au kuwezesha huduma lakini kwa zaka haipaswi kutumwa hivyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…