Dividend
JF-Expert Member
- Jan 15, 2017
- 2,102
- 3,343
Hivi tanzania kuna mwanasayansi? Nimeuliza tuAsha ujinga sayansi sio vuguvugu ni ukweli tu .Mimi ni mwanasayasi hakuna mwanasayansi anayesubutu kusema dunia ni flat katika miaka hii ,kwa sababu hata hiyo internet unayotumia inatumia seteliti ambayo emetegwa kulingana na umbo la Dunia .Hakuna ubishi wa huo ujinga katika dunia ya leo usipotoshe uma