HASARA ambayo Dunia Ingeipata kama Ingeendelea kuamini Dunia Sio Tufe bali ni FLAT

Hivi tanzania kuna mwanasayansi? Nimeuliza tu
 
Mtoa mada aende kituoni akahojiwe.. huenda anatumia
 
hao wanaoamini kuwa dunia ni flat watueleze usiku na mchana unaapatikanje?
 
Nami nina jambo naomba kuuliza.. Kwa hii dunia ilivyo naweza kutoka hapa Tz yaani Africa kuelekea bara la Asia kwa ndege na nikifika huko naendelea kwenda tu na mwisho nikajikuta nimetokea Africa tena ili kuthibitisha dunia ni duara?
inayozunguka ni Dunia sio ww kwani ukiwa ndani ya basi umekaa st ya nyuma waweza kujikuta umekaa st ya mbele bila ww kwenda kukaa sit hiyo jibu ni hakuna na hapohapo basi likiwa linatembe

Vivyo hivyo huwezi kutoka Afrika mpaka Asia na kujikuta tena ulipoanzia safari huo ndo ule ugunduzi wa miaka ya zamani wakati viona mbali hakuna kwa sas hakuna hilo
 
Kama nyota unazna hapahapa Dar je kwa nn pana ucku na mchana hujaliona hilo mkuu na je kupatwa kwa jua nako unliona jua limepatwa had leo febr au nani kalitoa niambie kama Dunia haizunguki bac pangekuwa mchana tu ww umeangalia nyota tu mkuu vingine hujaona
 
Yeah utatokea upande wa pili yaani ktk utupu space ukiendelea sana utatoboa mars ukiendelea zaid utatoboa ktk planet nyingine na etc
 
Mkuu hapo umemjibu kama mwenyewe alivyouliza na kutaka kujua kweli? au mie ndiyo sijaelewa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…