Hasara zipi unazipitia kwa kuwa na tabia za introvert?

Dah nimejifunza kitu, mimi nikiwa sina hela nahisi ndiyo nakuwa Introvert, nikiwa nazo sijui ndiyo nakuwa Exrovert.
nikiwa na hela kila mtu atajua na hela 😀 navyojipenda acha tu kila mahali nitaenda ata kwa ndugu ambao hata cjawahi kuongea nao.
 

Wewe ni mimi mtupu
 
Introvertism is a curse,yani hapa nilikua na mipango ya kuoa,nimepeleka barua last monday ila ninavyoandika muda huu nawaza sana sioni sababu za kuoa,ni mambo mengi tu huwa naghairi ghafla
 

Kuwa introvert inadaidia pia. Kwa mfano mtu umeingia Bar umeagiza kuku mzima tena wa kienyeji au mbavu za mbuzi, kumbe wakati unaagiza bar maid alikuwa anapiga chabo! Ukifika unaketi kwenye kiti na kuagiza kinywaji mara unakuta bar maid anakuletea kinywaji na kuanza kuketi hapo hapo huku akiuliza ‘ mbona umepotea siku nyingi’ mara nini na nini! Kumbe alishakuona unaagiza nyama sasa anatengeneza mazingira ili ale pia ile nyama! Hapo mimi huwa naanua kuwa introvert na kumtimua haraka sana!
 
Me majirani zangu ndio hua spendi shobo ila washkaji na wawili watatu ila spendagi kuwatembelea labda kama kuna ulazima sana
 
Vipi kusex umewahi?
 
Washikaji wanaopenda jifungia ndani mara nyinhi wanakuaga wachafuuuu...

Ukiingia ghetto yake ndio wale unapata sahani zipo kwa bed, soksi na vinasa vimeanikwa kwa dirisha n.k
Huo umama kujadili mambo ya wanaume wenzio, tena kwenye mageto yao. Acha hizo bhana.
 
Ni Maisha mazuri sana! Unatumia Akili yako 100%..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…