nikiwa na hela kila mtu atajua na hela 😀 navyojipenda acha tu kila mahali nitaenda ata kwa ndugu ambao hata cjawahi kuongea nao.Dah nimejifunza kitu, mimi nikiwa sina hela nahisi ndiyo nakuwa Introvert, nikiwa nazo sijui ndiyo nakuwa Exrovert.
Yaani mimi na vile sina usafiri basi kupita njia za mtaani kwangu inanipa shida sana
Nakuwa free zaidi maeneo ambayo sijulikani
Nikijaribu kuwa extrovert nakereka nalazimika kurudia hali yangu, sizungumzi na mtu nisiyemfahamu, ukinikuta na watu niliozeana nao utakataa ukiambiwa huwa sizungumzi
Tabia zingine za kiduanzi sana
Mnahongopeana mkuuHasara zipo
Wakati mwingine unakosa connection.
Lakini muhimu hasara zisikudhuru
Introvert atttitude can benefit a person alot more than how he or she can explainKivipi mkuu
Tabia ya kupenda kukaa peke yangu bila kuwa na mazoea sana na washakaji ama majirani, kuna siku niliumwa wakuu nikakaa ndani siku nzima nakunywa maji tu hakuna anayejua kama naumwa.
Homa ilinikamata vibaya nje sionekani washakaji na majirani wakajua ndio kawaida yangu kuwa ndani kumbe mwenzao maji ya shingo, niko mbali na familia, wife hayupo.
Nikapiga simu kwa wife, wife akasema huyu jamaa atakufa kwa sababu ananijua sina kampani, wife akasafiri kesho yake akaja ndio ikawa afadhali yangu maana ugonjwa ukiwa peke yako unazidi.
Nikasema nikipona mimi jamani ntatafuta washkaji wa kutembeleana ili nikipata matatizo nisaidiwe, baada ya wiki kupona ndio kwanza nikazidi kujichimbia ndani na vitabu vyangu uchwara[emoji3][emoji3][emoji3]
Nashauri wakuu tujitahidini kuwa na watu wa karibu washkaji ama majirani, mimi imenishinda kidogo.
Vipi kusex umewahi?Kuchoka kuwa introvert ni Sawa na kuuchoka uasilia wako,unaweza jaribu kujibadili ila mwisho wa siku unajikuta peke yako pasipo kupenda
Me mpaka Leo zaidi ya mika 24 cjawai kuwa na mpenzi/demu nikijaribu kutafuta mpenzi kunamaswali huwa najiuliza na kujijibu mwisho Siku zinaenda hvhv
Huo umama kujadili mambo ya wanaume wenzio, tena kwenye mageto yao. Acha hizo bhana.Washikaji wanaopenda jifungia ndani mara nyinhi wanakuaga wachafuuuu...
Ukiingia ghetto yake ndio wale unapata sahani zipo kwa bed, soksi na vinasa vimeanikwa kwa dirisha n.k
Yeah nmewai, na nnasex mda wowote nnaotaka na si kwa kununuaVipi kusex umewahi?
Ushapata mwandani wa kudumu au sio.. Hongera!Yeah nmewai, na nnasex mda wowote nnaotaka na si kwa kununua