Huko nyuma waliowahi chezea pesa uwa wanaishia pabaya. Kuna mchezaji mmoja wa mpira wa miguu wa Brazil (miaka ya 80) yeye alikuwa anachukua kiberiti anawasha moto halafu ndo anachukua noti na kuiwasha baadaye anawashia ile noti sigara tena hadharani. Mwisho wake ulikuwa mbaya sana.
Huyu jamaa mimi sina uhakika kama kafanya vile kwani haya magazeti ya Tsh. 100 ni hatari kubwa waweza kukusingizia kitu chochote wapate cha kuandika OVYO kabisa! Yawezekana alimtunza mwanamuziki Dola 50 ( 70,000/=) na kumtunza jamaa mwingine aliyekuwa anacheza vizuri kiasi kama hicho wao wakadai kuwa ametupa pesa.
Lakini kama alifanya hivyo ni vizuri mnaomfahamu mmsaidie siyo kumwombea mabaya