Ndo Wabongo tulivyo! Ni kawaida sana kusikia "yule jamaa ana maringo sana...!" Lakini utashangaa huyo anayemsema ana maringo hajawahi hata siku moja kuwa jirani nae zaidi ya kumuona kwenye tv!!!Na ukimuuliza maringo yake nini hupati jibu.
Nimekuelewa ng'ombe....Shida ya bongo 90% ni mang'ombe
Nimekuelewa ng'ombe....
Ngoja nikupuuze ng'ombe... I bet upo Pugu hivi sasa tayari kwa kufanywa mchuzi hapo kesho!Haya zombi
[emoji15] [emoji15] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Witness bhana, hizo ni mbwembwe tu za kistaa, zisukupe shida! Majority ya clubbing stars ndo zao hizo... wakifika lazima wahakikishe kila mmoja anafahamu kwamba fulani kafika kwahiyo has nothing to do with Hasheem solely!! Usiniambie hujawahi kugongana na Wema mahali....Ila jamaa lina sifa..siku Niko bills kaja na group lake anataka kila demu amshobokee
Nikasema cha! Kwa kipi au huo ulingoti?
Ila namuombea arudi NBA maskini, keshajifunza!
Kuhusu kujifunza, you're right... kajifunza sana hasa ktk kujifua! Lakini Wabongo tunasahau jambo moja... tunadhani failure ya Hasheem ni ya ujinga wake kwa 100% huku tukisahau jamaa ameanza kucheza basketball wakati ameshakuwa mzee (15 years)! Miaka 7 baadae akaingia kwenye tough basketball league kabla mwili haujazoea mikikimikii! Hii miaka 7 iliyomfikisha NBA kwa USA ni ile ambayo watoto wanaota iwafikishe kwenye college league. Mbaya zaidi, hakupata nafasi ya kuizoea mikiki mikiki ya NBA manake alishindwa kuonesha makucha yake mapema hali iliyomfanya awe anahama timu moja baada ya nyingine hata kabla hajazoea mazingira!Ila namuombea arudi NBA maskini, keshajifunza!
Huyo Wema kila siku napishana nae akija pale kwa mama ake maeda...nikupe tu siri moja sishobokei vi star uchwara especially vya hapa bongo!Witness bhana, hizo ni mbwembwe tu za kistaa, zisukupe shida! Majority ya clubbing stars ndo zao hizo... wakifika lazima wahakikishe kila mmoja anafahamu kwamba fulani kafika kwahiyo has nothing to do with Hasheem solely!! Usiniambie hujawahi kugongana na Wema mahali....
Ni kweli Chige the way ulivyo analyse but, nahisi kilichomkwamisha zaidi ni pale wenzake akina Le bron wanapiga tizi la kufa mtu , yy anawaza atapata chance muda gani aje bongo kutuchapa bakora!Kuhusu kujifunza, you're right... kajifunza sana hasa ktk kujifua! Lakini Wabongo tunasahau jambo moja... tunadhani failure ya Hasheem ni ya ujinga wake kwa 100% huku tukisahau jamaa ameanza kucheza basketball wakati ameshakuwa mzee (15 years)! Miaka 7 baadae akaingia kwenye tough basketball league kabla mwili haujazoea mikikimikii! Hii miaka 7 iliyomfikisha NBA kwa USA ni ile ambayo watoto wanaota iwafikishe kwenye college league. Mbaya zaidi, hakupata nafasi ya kuizoea mikiki mikiki ya NBA manake alishindwa kuonesha makucha yake mapema hali iliyomfanya awe anahama timu moja baada ya nyingine hata kabla hajazoea mazingira!
Dah! Ushaweka na umaskini tena manake ningekuambia nishobokee mimi basi!!! Anyway, unafikiri issue ni kwamba wewe kushoboka basi... tatizo ni kale katabia kao ka ku-force public attention; na haka katabia kapo kokote utakoenda!! Good kwamba hushoboki, lakini kwa wasichana wengi ni full shobo na ndio maana huwa wanapata kiburi cha kudhani kila mtu anawashobokea! Tena ukiwapotezea huwa wana-mind kishenzi! But usisahau Witty, hata Bush nako kuna mastaa....Huyo Wema kila siku napishana nae akija pale kwa mama ake maeda...nikupe tu siri moja sishobokei vi star uchwara especially vya hapa bongo!
Kwanza shule ndogo, hawajitambui, ni maskini, yaani hata future yao hawaijui asa hapo ntashoboka na nini labda kwa mfano?
Kwa Hasheem nilitegemea kaishapata exposure ya kutosha so asingekuwa limbukeni! Kumbe yale Yale tu.
Bongo hakuna star!
Teh teh...umenichekesha eti bush pia kuna star halafu kweli![emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Dah! Ushaweka na umaskini tena manake ningekuambia nishobokee mimi basi!!! Anyway, unafikiri issue ni kwamba wewe kushoboka basi... tatizo ni kale katabia kao ka ku-force public attention; na haka katabia kapo kokote utakoenda!! Good kwamba hushoboki, lakini kwa wasichana wengi ni full shobo na ndio maana huwa wanapata kiburi cha kudhani kila mtu anawashobokea! Tena ukiwapotezea huwa wana-mind kishenzi! But usisahau Witty, hata Bush nako kuna mastaa....
Hahahaa! Kuhusu tizi, hilo ndo kosa kubwa alilofanya... Kwa body la Hasheem, lilitakiwa kupata mikiki mikiki tangia akiwa mdogo ili mwili uzoee!! Sasa kwavile alichelewa kuupa mwili dozi, ni kweli alitakiwa awe extra miles kwa tizi la kufa mtu ukilinganisha na wenzake! Hasheem ana body na ndiyo ilikuwa inampa kiburi akasahau NBA ni zaidi ya body, physique ni muhimu sana kwa sababu players wapo very energetic. Hii training anayoipata sasa wakati keshakuwa mzee alitakiwa kuifanya wakati ule... at least soon baada ya kuvurunda Memphis Grizzlies!Ni kweli Chige the way ulivyo analyse but, nahisi kilichomkwamisha zaidi ni pale wenzake akina Le bron wanapiga tizi la kufa mtu , yy anawaza atapata chance muda gani aje bongo kutuchapa bakora!
Hizo safari zake huku zimemcost na atakuwa anajuta now
Ukiona mtu anadumu kwa Frank Matrisciano basi ni dalili tosha kwamba kwa sasa anapiga tizi la kufa mtu! Tatizo ninaloliona kwake ni umri unamtupa mkono... soon anafunga 30. In 30 unatakiwa uwe tayari ume-stablish career wakati yeye ndo anasaka ku-establish career.Anatakiwa kufanya mazoezi zaidi, kwani wao waweze wana nini hata yeye ashindwe ana nini
Teh...alidhani ule utwiga wake akinyoosha mkono tu ball inaingia kwenye kikapu! Hata bila special training...Hahahaa! Kuhusu tizi, hilo ndo kosa kubwa alilofanya... Kwa body la Hasheem, lilitakiwa kupata mikiki mikiki tangia akiwa mdogo ili mwili uzoee!! Sasa kwavile alichelewa kuupa mwili dozi, ni kweli alitakiwa awe extra miles kwa tizi la kufa mtu ukilinganisha na wenzake! Hasheem ana body na ndiyo ilikuwa inampa kiburi akasahau NBA ni zaidi ya body, physique ni muhimu sana kwa sababu players wapo very energetic. Hii training anayoipata sasa wakati keshakuwa mzee alitakiwa kuifanya wakati ule... at least soon baada ya kuvurunda Memphis Grizzlies!
ameshindwa kuwatengenezea wabongo wenzake connection akihofu watamzidi, wenzie wanatoka D-League wanaenda NBA yeye ametoka NBA anaenda D-League
kweli hakuna marefu yasiyo na ncha
Huyu jamaa ana maringo sana
Siwezi kuombea mtu kama huyo hata siku moja nba lazma atupwe nje no way out!!