God'sBeliever
JF-Expert Member
- Sep 1, 2015
- 5,788
- 3,033
mkuu nyie simnapenda wanaume warefu? ungechangamkia ofa bwana.Ila jamaa lina sifa..siku Niko bills kaja na group lake anataka kila demu amshobokee
Nikasema cha! Kwa kipi au huo ulingoti?
Ila namuombea arudi NBA maskini, keshajifunza!
mkuu wewe unapiga basket?Kuhusu kujifunza, you're right... kajifunza sana hasa ktk kujifua! Lakini Wabongo tunasahau jambo moja... tunadhani failure ya Hasheem ni ya ujinga wake kwa 100% huku tukisahau jamaa ameanza kucheza basketball wakati ameshakuwa mzee (15 years)! Miaka 7 baadae akaingia kwenye tough basketball league kabla mwili haujazoea mikikimikii! Hii miaka 7 iliyomfikisha NBA kwa USA ni ile ambayo watoto wanaota iwafikishe kwenye college league. Mbaya zaidi, hakupata nafasi ya kuizoea mikiki mikiki ya NBA manake alishindwa kuonesha makucha yake mapema hali iliyomfanya awe anahama timu moja baada ya nyingine hata kabla hajazoea mazingira!
halafu hao wanaojiita mastaa wanaishi kwa kujiuza miili yaoHuyo Wema kila siku napishana nae akija pale kwa mama ake maeda...nikupe tu siri moja sishobokei vi star uchwara especially vya hapa bongo!
Kwanza shule ndogo, hawajitambui, ni maskini, yaani hata future yao hawaijui asa hapo ntashoboka na nini labda kwa mfano?
Kwa Hasheem nilitegemea kaishapata exposure ya kutosha so asingekuwa limbukeni! Kumbe yale Yale tu.
Bongo hakuna star!
nimekupenda bure mdadaNi kweli Chige the way ulivyo analyse but, nahisi kilichomkwamisha zaidi ni pale wenzake akina Le bron wanapiga tizi la kufa mtu , yy anawaza atapata chance muda gani aje bongo kutuchapa bakora!
Hizo safari zake huku zimemcost na atakuwa anajuta now
Kwa hiyo unataka kusema aje amwombe msamaha TID???Labda ni laana ya Tid mnyama
Ushawahi muona live?mkuu nyie simnapenda wanaume warefu? ungechangamkia ofa bwana.
TID nae ana saga nyingi za kike juzi kati aliwatangazia watu alimkaza wema eti? sasa mambo gani hayo kama si kutafuta umaarufu a kiboya?Kwa hiyo unataka kusema aje amwombe msamaha TID???
Sasa kama Wema hivi mi nachekaga eti Tanzania sweetheart, like serious?halafu hao wanaojiita mastaa wanaishi kwa kujiuza miili yao
Ushawahi muona live?
Si kwa urefu ule asee!...Kidoti ana moyo
Nasikia kitaalamu ana matatizo kuwa na urefu wa hivo nimesahau jina lake kitaalamu
ila kwa wenzetu ulaya unatumia hiyo weakness kama fursa ya kutajirika!
labda kwa wasio na akili mana hawa hawatambui hata uwepo wa malayaSasa kama Wema hivi mi nachekaga eti Tanzania sweetheart, like serious?
Hivi mtu na akili zake eti Wema ni role model wake! Chaaaa
Bongo superstars ni SAMATA labda na ulimwengu thomas..Sasa kama Wema hivi mi nachekaga eti Tanzania sweetheart, like serious?
Hivi mtu na akili zake eti Wema ni role model wake! Chaaaa
Ndo Wabongo tulivyo, mtu akiona ameenda hewani vya kutosha anadhani tayari hiyo inatosha kwenye basketball!Teh...alidhani ule utwiga wake akinyoosha mkono tu ball inaingia kwenye kikapu! Hata bila special training...
Hasheem bana!
Precisely... Tena kama Peter crouch doh!mbona marekani na sehemu nyingi za ulaya huo ndio urefu wa kawaida? umewahi ona watu kama akina michael jordan, peter crouch, zlatan ibrahimovic, peter cech thibault coutois n.k?
sasa maniga wa marekani ndo balaa yani mijitu imekwea juu kama miti
Tena nasikia mnamuita Madam Wema Sepetu!!!Sasa kama Wema hivi mi nachekaga eti Tanzania sweetheart, like serious?
Hivi mtu na akili zake eti Wema ni role model wake! Chaaaa
Hapana mkuu; nimedanganya nini?!mkuu wewe unapiga basket?
Hivi yule jamaa ni mmasai? Maana ni mrefu hatari.Alichezea bahati....kila siku yuko bongo na akina joketi kushindana kwenda club
mkuu hiyo ni nature hata west africa kuna midude imeenda juu balaa.Precisely... Tena kama Peter crouch doh!
Ila all in all nilisoma mahali eti ni tatizo! Au ndo mambo ya wazungu kila kitu scientific inaplay part!
Mkuu screpa nimeipenda avatar yakoTatizo akirudi NBA anarudi bongo kuwalamba mitama kina TID
nimependa mtiririko wako kwa sababu inaonekana ni mtu flani ivi mdau wa basketHapana mkuu; nimedanganya nini?!
Hata huyo Hasheem alitakiwa awe best kuliko hata hao!Bongo superstars ni SAMATA labda na ulimwengu thomas..