Hasheem Thabeet yu wapi!?

Ngono imemponza.I hope Mbwana hatatuangusha.
 
Naona alipofikia ni juhudi zake mwenyewe na hakuna mtu aliyemsaidia.Hata hivyo kuna kikomo cha juhudi za mtu,kwamba hawezi kuji-stretch zaidi ya alipokuwa,hii ndo maana hata mafanikio ya member hapa jf tunatofautiana sana kuanzia pesa,shule mpaka position.Kuna chombo chochote cha habari kimemhoji changamoto alizopitia hadi akashuka? Tunavyompima juhudi zake,mafanikio yake,ku-fail kwake na kasoro zake in reverse tujipime na sisi vivyo hivyo katika maisha yetu.Je tunaweza hata kujaribu aliyoyapata.Kwanini Ozil hajawa kama Messi au Messi kuwa kama Pele wa Brazil,au Willium Gilbert na Nikola Tesla kuwa kama Albert Einstein na Isaack Newton.
Uwezo wa mtu una limit yake,na una time-limit yake kukaa katika peak japo kuna mengine yanaweza kuingilia pia.
 
Mkuu uliowataja hapa hawafananii na ndugu yetu Hasheem kwa mafanikio katika nyanja yao!
Mtu kama Messi hajawa kama Pelle lakini messi angalau amejenga ufalme wake kwa kizazi hiki!!
 
Hii ni ya 2014

Baller Mail - The Truth About OKC Thunder's Hasheem Thabeet

One BA reader dishes the tea on OKC Thunder player Hasheem Thabeet and his seemingly fairytale relationship with longtime girlfriend. Looks like things may not be as blissful as they seem. Read the Baller Mail below!


"I believe it's time he be exposed before another girl makes this horrible mistake! Hasheem Thabeet of the OKC Thunder. Him and his girlfriend of nearly 5 years Bethany (@lovequeenbee or @waterbirthbee) just had a son Prince about 4 months ago. They are this little happy family and she acts like he's the perfect dad and boyfriend. Well not only does Hasheem have a 3 year old son whom he doesn't acknowledge with Meliqua (@melpillard) but he has a 9 month old son that he doesn't claim with Asha (@lolabvalentine). There are even rumors that there is another girl pregnant right now with his daughter! This man barely gets tick time on the court and obviously just uses his job to go city to city raw dogging any girl that will let him. He's a horrible father. His girlfriend wants to fit in with the other Thunder WAGs. But in reality she got pregnant while his 2nd bm was pregnant. And Meliqua and Asha are not the first 2 girls he got pregnant outside of his relationship, the others just aborted the kids. Maybe his girlfriend felt left out. I can't understand why any woman would lay down and risk having babies (or catching diseases) with this man, he barely makes 1 million dollars and his career will be ending soon. I give Meliqua the most credit because at least she got popped when he was bringing in that #2 Draft pick check. The other chicks are just plain fools. Anyways ladies if his looks don't make you avoid opening your legs for him hopefully this info will."



I predict this will be another Baller crying broke over child support checks soon. Mark my words!





















 
Inaonekana roho inakuuma jamaa kumiliki mkwanja mrefu. ungekuwa unafaa angekuajiri japo kazi ya kutunza mbwa wake. but even kwa hiyo job hufai. kafagie barabara za kwenu tandale
Kijana usidharau mtu usiyemjua, maneno yako yatakutokea puani and for sure you'll regret...jamiiforum isikupe kichwa ukajiona wewe bora katika kuropoka
 
Anajifua vema tu huko D League and I'm pretty sure he'll be back in the NBA very soon
 
Kidoti anakula ujana!! Au ndo vile tena waoaji wanaogopa kuoa madem wenye historia mbaya ya mahusiano!!
 
Nimeona amepost picture yupo na Kobe Bryant anapiga kikapu akaandika mamba is back.
 
Hii nchi kufanikiwa ni ngumu sana manake hata vitoto vinavyoanza kubalehe vinaanza kukomaa vikiwa vichawi vinavyourithi toka kwa kaka na dada zao!

Huyo Mondi Dangote mwenyewe unakuta madume mazima na mapu'mbu yanawaning'nia wakati wanatembea lakini bado unakuta wanamwombea aporomoke-- hawamjui zaidi ya kumwona kwenye TV na hawajui lakini ukiuliza; oh jamaa ana nyodo! Hivi mwanaume unazionaje nyodo za mwanaume mwenzako!!

Sasa nchi iliyojaa wachawi kila kona tena vichawi vyenyewe vitoto vidogo; ngumu sana kufanikiwa unless you keep your profile low! Hasheem ana - struggle sana, tena sana kurudi kwenye chati-- I hope the day will come umri nao unasonga!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…