Kweli kabisa mkuu. Wao wanakawaida ya kumngojea chini aliye juu.furaha kubwa ya wabongo walio wengi siku zote ni kuona mtu anafeli maisha!! asilimia kubwa ya wabongo ni viumbe wenye roho mbaya sana na ya kwanini fulan afanikiwe! kwenye maisha kuna kupanda na kushuka, hivyo kushuka kwa Hasheem wabongo wenye roho za korosho wamefurahi sana maana hata comment za baadhi yao zinajieleza, utadhani wanafaidika na Hasheem kutoka NBA!
Kweli akili huna hata chembe hivi unaijua bajeti ya Tz au unaropokwa tu.Acheni kumsema vibaya jirani yangu. nendeni kwenye website ya NBA utajua wapi yuko. othrws mnapiga domo la bure tu but kufikia mafanikio yake lbd budget ya Tz 3yrs
Amesharejea Sinza? au Ndio Maana Diamond kaimba ule wimbo wa Utanipendaga alikuwa akimnanga Huyu Jamaa asiye ThabitiMkuu huyo dogo unayenambia mi namjua vizuri... Hivi ukitoa ile Slide Visuals huyo dogo na kakake wana nini hapa Bongo??
Utajiri anaouogelea ni upi mkuu?? Huyo Hasheem kwa sasa hata huyo Diamond hamkamati, una habari mamake anataka kuhamishwa kule Masaki?? Kama niko sahihi atakuwa ameshahama..
MakubwaWatu wanapokezana Kidot kama mwenge vile
Sasa Wege ulieenda kwenye hio website ya NBA si utuambie..?Acheni kumsema vibaya jirani yangu. nendeni kwenye website ya NBA utajua wapi yuko. othrws mnapiga domo la bure tu but kufikia mafanikio yake lbd budget ya Tz 3yrs
nadhani ww unachoongea haukijui huyu jamaa amepoteza sana maana kipindi kile kushika zile pesa zika mchengua sanaMambo km huyajui ni bora ukae kimya! sio kila mwenye pesa anajitangaza tangaza ovyo. but utajiri wa hiyo family ni mkubwa kuliko unavofikiria ila hawapendi majigambo
Mkuu huyo dogo unayenambia mi namjua vizuri... Hivi ukitoa ile Slide Visuals huyo dogo na kakake wana nini hapa Bongo??
Utajiri anaouogelea ni upi mkuu?? Huyo Hasheem kwa sasa hata huyo Diamond hamkamati, una habari mamake anataka kuhamishwa kule Masaki?? Kama niko sahihi atakuwa ameshahama..
Tatizo watanzania hampendi kuelezwa ukweli.hebu niambie jamaa hapo kaeleza nini kibaya kumhusu hasheem?Dah!! umepanic mpaka povu linakutoka mdomoni poleee.... kauli yangu ni moja tuu...let me tell u. utajiri anaouogelea ni balaa..mengine tc secret siwezi weka wazi humu ila tambua hilo. kuhusu mdogo wake hivi unajua mi kampuni ngapi anazimiliki hapa bongo? usipende kukurupuka kuongea ongea kwa mambo usiyoyajua
Alipanda nini?Amevuna alichopanda
Mmmh kuna watu mnauweza upambe kwelikweli HONGERA..Dah!! umepanic mpaka povu linakutoka mdomoni poleee.... kauli yangu ni moja tuu...let me tell u. utajiri anaouogelea ni balaa..mengine tc secret siwezi weka wazi humu ila tambua hilo. kuhusu mdogo wake hivi unajua mi kampuni ngapi anazimiliki hapa bongo? usipende kukurupuka kuongea ongea kwa mambo usiyoyajua